Mdondo Huo...

Mdondo Huo...

HUYU NAYE ANA WAZAZI...DINI....MAJIRANI....WORK MATE....mmhh
 
Hiyo ni paused picture! Hakuna binti atakaye pass out like that, halafu licha ya kubakwa; akawa na vitu vya thamani eg Simu, shoes, jewels etc!
 
Aaah muongo tu huyo. mapozi ya picha hayo. Sio sura ya kuzimika hiyo.
 
mLEVI GANI KASHIKA SIMU NA MKOBA SAFI KABISA NA SIMU
HII TUMEIBIWA

attachment.php
 
Huyu anatega tu. Mtu akiingia kichwakichwa akadhani amelewa akamkokota kumpeleka guest anamlamba kila kitu halafu anaishia. Watoto wa mjini ndo wanavyoibia watu. hajalewa wala nini hapo!!
 
Nani kaziba pale kwenye sambusa??? ndo kaharibu utamu!!!! any way windhoek hazileweshi kihivyo inawezekana alipiga na valuuuuuuu!
 
Watakuwa walimchanganyia ni vilevi vingine mi nijuavyo tuvinywaji alitonato hatungeweza kumfikisha pale.
 
View attachment 30285 mbona hii hapo juu picha kama anacheka? wanatafuta umaarufu tu kwa kujidhalilisha!! Hizi picha za maigizo maana angekua amelewa kweli hata kiatu angekua ameshatoa!

View attachment 30287
mbona hii hapo juu picha kama anacheka? wanatafuta umaarufu tu kwa kujidhalilisha!! Hizi picha za maigizo maana angekua amelewa kweli hata kiatu angekua ameshatoa!
 
huyu alikuwa anajifanyaa..yeyee ni 4 by 4,mutoto ya mujini..kumkomoa mlungaa sasaa yeyee kajikomoa,ana bahati angekuwa pande za ngaleloo kisimu kushneiiiii...na puuuu anachezea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom