Mdondo Huo...

hamna lolote hapa....
one of them photoz za shigongo zinazomuweka mjini!!
unazima ukiwa umetabasamu na umekamatia simu, at the same time umelala kwa ustaarabu hujaacha kitumbua nje???!!
 
mrembo - angekuwa mama wa nyumbani - ametulia na mumewe.................mh! atachoka tu siku moja na kutulia

ila akiiona hii picha nadhani ataacha pombe lazima!
 
Back
Top Bottom