Mi nilidhani kwamba mdomo ni 'lip'.....yaani utasema amepata rangi midomo yake.
Na kinywa ni 'mouth'?
Swahili translation ya Lip kumbe ni midomo. Okay.
Poor me,Hamna tofauti, ni mambo ya lahaja tu, ukishangaa mdomoni na kinyani utaona kanwani, which means the same thing.
Poor me,
I seem to be blind in Swahili then. What's the meaning that red inked word?
Poor me,
I seem to be blind in Swahili then. What's the meaning that red inked word?
Kinywa ni sehemu ya kunywea (kupitisha kimiminika kwenda tumboni). Mdomo ni ujumla wa shughuli zote zinazohusika mfano kula, kunywa, kucheka na kuongea bila kusahau kuhema na kutoa makohozi n.k.
Kwa hiyo lips tutasema vipi ktk kiswahili fasaha maanake sijaona kitu ambacho kina maana mbili toka sehemu moja..