BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 654
- 1,598
Mdogo wangu jana alikuwa anasafari ya kutoka Dar kwenda Morogoro, wakiwa wameshatoka Stendi ya Magufuli hata kabla hawajaliacha jiji hilo, wakasimamishwa na Wanausalama, wakaombwa vitambulisho, yeye na wenzake kadhaa hawakuwa na ID zozote wakati huo.
Wanausalama hawakutaka kuwalewa wakaamua kuwashusha na kuwaambia warudi walipotoka.
Hivyo ndugu zangu sasa hivi ukitaka kusafiri hakikisha unakitambulisho, hata kama ni katika mishe zako za hapa town hakikisha umejiandaa, hali ya upepo siyo nzuri.
Wanausalama hawakutaka kuwalewa wakaamua kuwashusha na kuwaambia warudi walipotoka.
Hivyo ndugu zangu sasa hivi ukitaka kusafiri hakikisha unakitambulisho, hata kama ni katika mishe zako za hapa town hakikisha umejiandaa, hali ya upepo siyo nzuri.