mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,786
Mida hii ndo mmakonde alimtafuna mwanae
Acha kuchangamke, Tz ilikuwa imelala sanaMdogo wangu jana alikuwa anasafari ya kutoka Dar kwenda Morogoro, wakiwa wameshatoka Stendi ya Magufuli hata kabla hawajaliacha jiji hilo, wakasimamishwa na Wanausalama, wakaombwa vitambulisho, yeye na wenzake kadhaa hawakuwa na ID zozote wakati huo.
Wanausalama hawakutaka kuwalewa wakaamua kuwashusha na kuwaambia warudi walipotoka.
Hivyo ndugu zangu sasa hivi ukitaka kusafiri hakikisha unakitambulisho, hata kama ni katika mishe zako za hapa town hakikisha umejiandaa, hali ya upepo siyo nzuri.
Vijana wakagame washajikita nchin wanasubir vilimbi tuMdogo wangu jana alikuwa anasafari ya kutoka Dar kwenda Morogoro, wakiwa wameshatoka Stendi ya Magufuli hata kabla hawajaliacha jiji hilo, wakasimamishwa na Wanausalama, wakaombwa vitambulisho, yeye na wenzake kadhaa hawakuwa na ID zozote wakati huo.
Wanausalama hawakutaka kuwalewa wakaamua kuwashusha na kuwaambia warudi walipotoka.
Hivyo ndugu zangu sasa hivi ukitaka kusafiri hakikisha unakitambulisho, hata kama ni katika mishe zako za hapa town hakikisha umejiandaa, hali ya upepo siyo nzuri.
Mkuu kwa hali yetu kuna mambo mengi ya kuzingatia, mfano kitambukisho cha nida unapojisajiri haupewi siku hiyo hiyo. Vipi kama upo katika kipindi cha kusubiri kitambulisho kitoke ndio maana yake hauwezi kusafiri? sasa huo ni uzembe wa mwananchi au mamlaka husika?.Yani kutembea na kitambulisho ni kufika pabaya.... Nakuongezea pia jitahidi pamoja na kitambulisho tembea na bima ya afya pia UTANISHUKURU BAADAE.
Tupo tulipo kwa sababu tuliishi kwa mazoea zaidi mambo yamebadilika
Nyie vilaza machawa hakuna sheria inayomtaka raia akiwa ndani ya nchi kutembea na kitambulisho, mmeifanya hii nchi kuwa banana republic kabisa kwa watu wachache kujiamulia tu kufanya mambo kiholela bila kuzingatia sheria.Ukidai haki ujiandae kutimiza wajibu.
Sio haki wala sheria Polisi kudai watu vitambulisho kila mahali. Polisi wanatakiwa wakudai kitambulisho kama wanakuhisi wewe ni mhalifu au wanafanya msako wa mhalifu waliye na taarifa zake. Ni upuuzi kuchelewesha bus au daladala eti kwa sababu vitambulisho vinakaguliwa kwa abiria wote.Umetisha sanaaa ikisimamiwa vilivyo milio itasikika tu bado kidogo... Wajibu pia uanze kutekelezwa
Ukiwa na cheti cha ubatizo, form 4, cheti cha kuzaliwa?Mdogo wangu jana alikuwa anasafari ya kutoka Dar kwenda Morogoro, wakiwa wameshatoka Stendi ya Magufuli hata kabla hawajaliacha jiji hilo, wakasimamishwa na Wanausalama, wakaombwa vitambulisho, yeye na wenzake kadhaa hawakuwa na ID zozote wakati huo.
Wanausalama hawakutaka kuwalewa wakaamua kuwashusha na kuwaambia warudi walipotoka.
Hivyo ndugu zangu sasa hivi ukitaka kusafiri hakikisha unakitambulisho, hata kama ni katika mishe zako za hapa town hakikisha umejiandaa, hali ya upepo siyo nzuri.
Wanajiridhisha kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi kuelekea 0912, hilo lina ubaya gani?Nyie vilaza machawa hakuna sheria inayomtaka raia akiwa ndani ya nchi kutembea na kitambulisho, mmeifanya hii nchi kuwa banana republic kabisa kwa watu wachache kujiamulia tu kufanya mambo kiholela bila kuzingatia sheria.