Mi mkristo ni miaka 5 tangu nifunge ndoa na mke wangu. Ni Mwezi 1 tangu huu mkasa kunipata.
Nilisafiri kibiashara na niliaga kuwa sitarudi kwa siku tatu mbele (nikawaida yangu ninapokuwa na safari za kibiashara), kwa siku hiyo moyo ulikataa kabisa kuendelea na safari niliamua kurudi nyumbani na nikapitia na zawadi za wanangu, mishare ya saa 3 usiku nilifika nyumbani nikasikia vicheko vya mwanaume ndani, sikujua ni nan niliendelea kusogea mpaka dirishani kuchungulia nikaona mke wangu na mwanaume wakiwa uchi wa mnyama (hawakuzima taa) wakifanya sex, niliwahi mlangon na kufunga mlango kwa nje na nikaanza kupigia cm rafiki na jamaa ili kunipa msaada (wakati huo sijui kama ni mdogo wangu). kufungua mlango daaa! mdogo wangu....! Iliniuma sana hata wazazi wetu na ndugu pia. Mdogo wangu alifukuzwa nyumbani baada ya kikao cha ukoo. Shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu. maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu. Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lkn nafisi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kwer naomben msaada wanajamvi.
We bibi mgonjwa wa akili tena kichaa mkomavu! kama jamaa nguvu ni kidogo akioa mwingine si ataendelea kugongewa?
Niliwahi kuhudhuria kikao kina kisa kama chako, kwenye kikao mwanamke aliyekuwa akitembea na mdogo wake mumewe akauliza, "Ipi bora, kutembea na mdogo wake mume wangu au kutembea na watu wa nje? kwani mume wangu haniridhishi".
Hakuna cha kutoridhishwaaa ni umalayaa tuu
Hapo ukinisoma vizuri nimeongelea kisa cha kikao nilichohudhuria mimi, na cha huyu sikijui ila nimetoa ushauri kama na yeye ni hali kadhalika. Siri ya mtungi...
Mi mkristo ni miaka 5 tangu nifunge ndoa na mke wangu. Ni Mwezi 1 tangu huu mkasa kunipata.
Nilisafiri kibiashara na niliaga kuwa sitarudi kwa siku tatu mbele (nikawaida yangu ninapokuwa na safari za kibiashara), kwa siku hiyo moyo ulikataa kabisa kuendelea na safari niliamua kurudi nyumbani na nikapitia na zawadi za wanangu, mishare ya saa 3 usiku nilifika nyumbani nikasikia vicheko vya mwanaume ndani, sikujua ni nan niliendelea kusogea mpaka dirishani kuchungulia nikaona mke wangu na mwanaume wakiwa uchi wa mnyama (hawakuzima taa) wakifanya sex, niliwahi mlangon na kufunga mlango kwa nje na nikaanza kupigia cm rafiki na jamaa ili kunipa msaada (wakati huo sijui kama ni mdogo wangu). kufungua mlango daaa! mdogo wangu....! Iliniuma sana hata wazazi wetu na ndugu pia. Mdogo wangu alifukuzwa nyumbani baada ya kikao cha ukoo. Shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu. maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu. Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lkn nafisi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kwer naomben msaada wanajamvi.
Niliwahi kuhudhuria kikao kina kisa kama chako, kwenye kikao mwanamke aliyekuwa akitembea na mdogo wake mumewe akauliza, "Ipi bora, kutembea na mdogo wake mume wangu au kutembea na watu wa nje? kwani mume wangu haniridhishi". Hapo sasa!
Kuna uwezekano hata hao wanao wa kwanza si wako.
Ushauri:
Amma kubali matokeo usamehe yaishe, lakini kama unajijuwa kuwa pumzi zako ni ndogo uukubali ukweli kuwa ataliwa tu, sasa ukubali amma aliwe na mdogo wako amma akaliwe nje!
Au muwache aende na njia zake, maana humuwezi huyo.
Kama dini yako haikuruhusu kutoa talaka, ingia kwenye Uislaam, umuwache kihalali. uendelee na maisha ya Kiislaam, utakuwa umeuwa ndege wawili kwa jiwe moja, kwanza utakuwa umeongoka kwa kutoka kwenye kiza cha kuabudu binaadam mwenzako na kurudi kwa kujisalimisha (Islam) kwa aliyekuumba na pili utakuwa umetatua tatizo la talaka kwa mkeo.
Mi mdogo wangu akimla mke wangu wala haitaniuma!! labda maradhi tu ndo naogopa, ila kama yupo fresh ale tu.