Mdogo wangu kanisaliti

Mkuu Lee2 mimi naona hutakuwa na aman moyon vilevile hutakuwa na iman naye tena...... Hebu fikiria leo hii upo safarin kibiashara ukaamua kumpigia sim lakn kwa bahat mbaya haijapokelewa labda alikuwa mbali nayo hapo mawazo yako yatarudi kule kule kuwa yupo kungonoka. Ktk ndoa lazma kuwe na aman na iman pamoja na upendo lakin kama huna hivyo ndg yangu haina haja kuwa kwenye ndoa kwasababu hapo sku za kuishi znapungua na magonjwa ya moyo na vidonda vya tumbo vinakusogelea lakn kwann ifikie huko?? Uamuz ni wako mm nmekuambia hayo ambayo ningeyafanya
 
Last edited by a moderator:
Hayyaaaaaaaaaaaa kumekuchaaaaa
ushauri ambao ni dawa nzuri kwa upande wangu... lakini kwanza mungu aniepushie mbali, lisije likanikuta!

sasa dawa ni hii (japo dini yenu navosikia mke ni mmoja tu, sina uhakika)..

ok sasa kwa upande huu wa dini ya ISLAM wake wa nne "MASHA'ALLAH".
UAMUZI WANGU:- ILI MUNGU AKUSAMEHE, ULIYEMKOSEA NDIO WA KWANZA ANATAKIWA AKUSAMEHE.
'
Sasa ili nimsamehe Mke wangu kwa kunisaliti anachotakiwa kufanya ni "NDOA" aolewe na yule aliyezini nae awe ndugu au rafiki.

nawaozesha maana wao ndio wanapendana kiukweli kabisa! kwangu anafanya maigizo. Amekusaliti kwasababu hakupendi na aliyeshirikiana nae kukusaliti ndio kwenye mapenzi yao. KWAHIYO WAPE FURSA WAWE WAWILI WAISHI PAMOJA.

UGOMVI UTAKUJA WAKIKATAA KUOANA- natoa vitendaji kazi vyao wote wawili!:A S angel: NDIO:nimekataa
 

Baki na mdogo wako, achana na huyo mwanamke. Mdogo wako atabaki kuwa mdogo wako tu hata kama itakuwaje. Lakini mke sidhani, akiondoka imetoka.
 
We bibi mgonjwa wa akili tena kichaa mkomavu! kama jamaa nguvu ni kidogo akioa mwingine si ataendelea kugongewa?

Wewe mwenye akili nzima rudia post yangu uoneshe ni wapi nimeandika akaoe "mwingine"? punguani wahed.
 
Huyo mke umezaa nae watoto wangapi? Fukuza huyo mke, chukua wanao wapeleke kwa bibi yao. Kuanza upya si ujinga!! Hyo mimba msiitoe, hakina hatia hicho kiumbe!
 
 


Nenda sehem kama likizo labda Dubai.china. Zanzibar au ngorongoro just relax hata kwa wiki1 then ipime akili yako ukiona unaweza samehe okeeeee ukiona huwezi mrudishe kwao.mwombe mungu sana akupe amani.pole bro
 
Agh, ndio maana nawapendaga sana ndugu zangu kina mangi, piga hesabu pesa ngapi katumia then piga risasi huyoo mbwa then jipige na wewe then dogoo msamehee.
 
............kwa alilolifanya mkeo hata kanisa watawapa talaka....huyo mwanamke hafai, wanaume wote waliojaa mjini hakuwaona mpaka azini na mdogo wako

na huyo mdogo wako ni shetani wa mguu mmoja hafai yaani hata undugu tupa kule mdelete kabisa kwenye mafile yako

hiyo mimba watajaza wenyewe...

hapo hata mke mrudishe kwao (kama hii stori ni ya kweli)
 
Nadhani kuna pahala tunajisahau baada ya kuoa..kwa maana ya wanandoa, kuna ubunifu tunaukosa ndio maana wenza wetu huchepuka kutafuta walichokikosa kwa njia ambazo huacha majonzi na simanzi kwa upande mwingine! Kaa chini na mkeo, na mdogo wako...busara ziwaongoze mtafikia muafaka tu!
 
Mi mdogo wangu akimla mke wangu wala haitaniuma!! labda maradhi tu ndo naogopa, ila kama yupo fresh ale tu.
 

Kweli akili ni nywele...
..mtu ana tatizo la kuliwa mkewe wengine mnakuja na ushauri wa kubadili dini..aaaaaah!
 
yapo ya kusamehe lakini sio haya na ndio maana uislam utabaki kuwa dini sahihi huyo hukumu ni kupigwa mawe mpaka kufa na huyo mdogo kwakuwa hajaoa fimbo mia na hio ndio haki yao.na huyo mke hutakiwi kuishi naye muache wako wengi tu hao mtaani wanaotaka ndoa kwa hali yoyote hakuna justification ya zambi .muaaacheeeeeeeeeeeeere!!!!!!!!!!!!
 
hili jambo lipe mda usitoe maamuzi ya haraka km mna watoto ...
"kama Mungu angehesabu makosa yetu ni nani angesimama mbele zake"
 
Mi mdogo wangu akimla mke wangu wala haitaniuma!! labda maradhi tu ndo naogopa, ila kama yupo fresh ale tu.

Aisee..... Eli79 umesemaje?
 
Last edited by a moderator:
Mi mdogo wangu akimla mke wangu wala haitaniuma!! labda maradhi tu ndo naogopa, ila kama yupo fresh ale tu.

i wish ungekuwa kakaangu nikutafunie yule mke wako tena ningefanya makusudi unifumanie naye manina
 
Mimim nina wasiwasi hata hao watoto wengine sio wa kwake.
 
jamani pole sana ila jamani wifi nae kazidi wanaume woteee akaamua kula mdogo wako... una moyo mi nisingeweza hata mwanagalia uwii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…