Mdogo wangu kanisaliti

Mdogo wangu kanisaliti

Pole sana kaka,muache hakuna dini inakubali uzinzi,atakusumbua huyoo.
 
ole sana yani ungekuwa na hasira kali ushamlipua
 
Sitamwacha mke wangu ila kwa dhambi ya uzinzi tu... Haina sababu ya kukua shetan kama hilo ndani ya nyumba. Huu ni wakat wa kusafisha takataka kama mmefukuza mdogo wako ambaye ni damu yenu kwann mnabaki pepo lingne ndani ya nyumba?? Leo umemfumania na mdogo wako lakn kesho utamfumania na rafki yako.. Fukuza pepo hilo ndan ya nyumba

ni maamuzi magumu swali la msingi je yeye katika kusafiri kwake hachepuki huko? isije kuwa mkuki kwa nguruwe!!
 
Ushauri mzuri sana dada.

Ila siku zote huwa nahofia kufanya maamuzi mepesi. Akiingia kwenye uislamu kwa sababu tu ya kupata ruksa ya kutoa talaka ( kitu ambacho sidhani kama ninawezekana anyways. kwamba alifunga ndoa ya kikristo na akibadili dini yeye ampe talaka mkewe kwa sheria ya kiislamu? haijaingia akilini). lakini baada ya kutaliki na pengine kuoa wanawake 4 ili kukidhi tamaa zake za mwili, akigeukia kwenye matakwa mengine ya kiislamu ataweza? hukawii kukuta hata kuacha kula kitumoto ikamshinda atii.

hata binti akiomba ushauri kuolewa na mtu wa imani tofauti, ni busara kusisitiza kuingia kwenye imani kwa sababu anaamini waaminivyo. ndo hayo unakuta mtu kabadili dini, siku mume akimuudhi tu anaenda kumalizia hasira kwenye kitimoto. haipendezi
Kama dini yako haikuruhusu kutoa talaka, ingia kwenye Uislaam, umuwache kihalali. uendelee na maisha ya Kiislaam, utakuwa umeuwa ndege wawili kwa jiwe moja, kwanza utakuwa umeongoka kwa kutoka kwenye kiza cha kuabudu binaadam mwenzako na kurudi kwa kujisalimisha (Islam) kwa aliyekuumba na pili utakuwa umetatua tatizo la talaka kwa mkeo.
 
wengi humu naona mmeegemea upande 1 lawama zotee mwamtupia mwanamke but katika huu Uzi kuna mengi sana yakuyaangalia .
hapa jamaa kaeleza tu kwa upande 1 ujue some times wanawake huwa wanakuwa sahii kabisa unaweza ukaona ndani ya hiyo 5yrs mwanamke kafaidi raha ya ndoa kwa mwaka 1 tu baada ya hapo nimateso ya moyo na masaliti kibao kutoka kwa mumeo lkn kwakuwa huyu jamaa hajayabainisha hayo basi mwanamke ndio anaonekana mkosaji sana kuna wanawake huwa wanatupenda wanaume kwa moyo wao wote lakini huishia kupata shukrani ya maumivu na fedheha ndani ya mioyo yao.nakufanya kuchange direction na hatimaye nao huamua kutafuta sehem ya kutulizwa maumivu na majeraha yao.
mwishowe mambo kama haya yakusalitiana ndio huwa matokeo yake

siyo kwer, tena tulikuwa tunaishi kwa amani na upendo kwer hata mimi sikuamini na siamin.
 
Mi mkristo ni miaka 5 tangu nifunge ndoa na mke wangu.

Ni Mwezi 1 tangu huu mkasa kunipata.
Nilisafiri kibiashara na niliaga kuwa sitarudi kwa siku tatu mbele (nikawaida yangu ninapokuwa na safari za kibiashara), kwa siku hiyo moyo ulikataa kabisa kuendelea na safari niliamua kurudi nyumbani na nikapitia na zawadi za wanangu, mishare ya saa 3 usiku nilifika nyumbani nikasikia vicheko vya mwanaume ndani, sikujua ni nani niliendelea kusogea mpaka dirishani kuchungulia nikaona mke wangu na mwanaume wakiwa uchi wa mnyama (hawakuzima taa) wakifanya sex, niliwahi mlangoni na kufunga mlango kwa nje na nikaanza kupigia simu rafiki na jamaa ili kunipa msaada (wakati huo sijui kama ni mdogo wangu).

kufungua mlango daaa! mdogo wangu....! Iliniuma sana hata wazazi wetu na ndugu pia.

Mdogo wangu alifukuzwa nyumbani baada ya kikao cha ukoo.

Shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu.

Maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu.

Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lakini nafsi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kweli naombeni msaada wanajamvi.

kILL HIM AND HER. THIS IS THE ONLY BEST ADVICE THATS AVAILABLE FOR YOU!
 
Pole sn,na una
moyo wa chuma nadhan maana dah.....ni ngumu kumeza aisee.
 
shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu.

Maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu.

Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lakini nafsi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kweli naombeni msaada wanajamvi.

pole sana mungu atakupa nguvu na utayashinda yote!
 
Temana na huyo mwanamke; sio tu kuwa hakupendi bali pia hakuheshimu wala "she does not give a f.uck about you". huo ndio ukweli mchungu na hakuna jinsi kaka mkubwa inabidi uumeze hivyo hivyo. Nitatoa sababu kwa nini nasema hivyo.
1. Angekuwa anakupenda angejituliza, asingehangaika na michepuko, let alone mdogo wako.
2. Hakuheshimu pia kwa sababu angekuwa hakupendi lakini anakuheshimu angetafuta mwanaume mwingine lakini si mdogo wako, kitendo cha yeye kulala na mdogo wako maana yake ni kuwa hakuheshimu.
3. She does not give a fu.ck about you ndio maana sio tu kalala na mdogo wako, bali amefanya hivyo kwenye nyumba yenu(probably kitanda chenu); hapa amekuvua nguo kweupe pee....
4. Pamoja na yote hayo kupigilia msumari kwenye jeneza amezini na mdogo wako bila condom mpaka ametiwa.mimba... wakati akiwa na wewe mnatumia condom; huyo si mwanamke wa kuishi nae atakuua kwa UKIMWI.
Kaka, huyo si tu kwamba si mke, bali pia si mwanamke wala si binadamu; ni nyoka aliyevaa ngozi ya binadamu.
Pia nakushauri ukacheki afya yako ukapime ngoma maana kama amelala na mdogo wako, there is a good possibility ameshakitembeza sana huko mitaani.
Kuhusu huyo mdogo wako nae ni basi tu kuwa hamuwezi kuvunja undugu ila huyo nae ni shetani.... ibaki tu kuwa ni ndugu yako kibaiolojia.
 
mkasa huu uone katika tv/au usikie katika redio .. usikukute lolz
 
kuna mdau kazungumzia umuhimu wa kusikia side b ya jambo hili..

lakini bado naona haitamsafisha huyu mama.. hata kama mumewe alikuwa na mapungufu, alikosa wanaume wengine? .. usaliti na shemeji tena katika kitanda chake na mumewe... WTF (Whats up Twiter Facebook).
 
Ushauri mzuri sana dada.

Ila siku zote huwa nahofia kufanya maamuzi mepesi. Akiingia kwenye uislamu kwa sababu tu ya kupata ruksa ya kutoa talaka ( kitu ambacho sidhani kama ninawezekana anyways. kwamba alifunga ndoa ya kikristo na akibadili dini yeye ampe talaka mkewe kwa sheria ya kiislamu? haijaingia akilini). lakini baada ya kutaliki na pengine kuoa wanawake 4 ili kukidhi tamaa zake za mwili, akigeukia kwenye matakwa mengine ya kiislamu ataweza? hukawii kukuta hata kuacha kula kitumoto ikamshinda atii.

hata binti akiomba ushauri kuolewa na mtu wa imani tofauti, ni busara kusisitiza kuingia kwenye imani kwa sababu anaamini waaminivyo. ndo hayo unakuta mtu kabadili dini, siku mume akimuudhi tu anaenda kumalizia hasira kwenye kitimoto. haipendezi

Hakuna dini yeyote duniani au kitabu cha dini yeyote duniani kinachotangaza, oeni "mmoja tu" isipokuwa Qur'an. Jee unalijuwa hilo?

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Hakuna dini yeyote duniani au kitabu cha dini yeyote duniani kinachotangaza, oeni "mmoja tu" isipokuwa Qur'an. Jee unalijuwa hilo?

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
King'asti na Faiza sidhani kama mnakoelekea mtamaliza. BTW Hivi kubadili dini ndo suluhisho eenh! Hizi dini zisitufanye tushindwe kutumia common sense Kha!
Kila kitu dini dini waliotuletea wenyewe wanaendelea ila sisi zinatuwehusha.
 
King'asti na Faiza sidhani kama mnakoelekea mtamaliza. BTW Hivi kubadili dini ndo suluhisho eenh! Hizi dini zisitufanye tushindwe kutumia common sense Kha!
Kila kitu dini dini waliotuletea wenyewe wanaendelea ila sisi zinatuwehusha.

Of course, huyo mkewe kishaliwa na mdogo wake "live", sasa niambie suluhisho alilonalo Kikristo.
 
Ebu acha ubwege wewe...mtu umeona kwa macho sasa unasubiri nin?timua huyo mwanamke.
 
Unasubiri roho mtakatifu akushukie akwambie uachane nae?

Kama ndoa ni hivi, wanangu waanze ubachela mapema
 
Ni mwanao huyo damu yako kabisa kama wewe na mdogo wako ni wa mama mmoja hata kama baba ni tofauti so chukulia poa angekua wajilani ndo shida
 
Back
Top Bottom