Sitamwacha mke wangu ila kwa dhambi ya uzinzi tu... Haina sababu ya kukua shetan kama hilo ndani ya nyumba. Huu ni wakat wa kusafisha takataka kama mmefukuza mdogo wako ambaye ni damu yenu kwann mnabaki pepo lingne ndani ya nyumba?? Leo umemfumania na mdogo wako lakn kesho utamfumania na rafki yako.. Fukuza pepo hilo ndan ya nyumba
Kama dini yako haikuruhusu kutoa talaka, ingia kwenye Uislaam, umuwache kihalali. uendelee na maisha ya Kiislaam, utakuwa umeuwa ndege wawili kwa jiwe moja, kwanza utakuwa umeongoka kwa kutoka kwenye kiza cha kuabudu binaadam mwenzako na kurudi kwa kujisalimisha (Islam) kwa aliyekuumba na pili utakuwa umetatua tatizo la talaka kwa mkeo.
He!!! mzabzab huo ushauri wako kiboko
wengi humu naona mmeegemea upande 1 lawama zotee mwamtupia mwanamke but katika huu Uzi kuna mengi sana yakuyaangalia .
hapa jamaa kaeleza tu kwa upande 1 ujue some times wanawake huwa wanakuwa sahii kabisa unaweza ukaona ndani ya hiyo 5yrs mwanamke kafaidi raha ya ndoa kwa mwaka 1 tu baada ya hapo nimateso ya moyo na masaliti kibao kutoka kwa mumeo lkn kwakuwa huyu jamaa hajayabainisha hayo basi mwanamke ndio anaonekana mkosaji sana kuna wanawake huwa wanatupenda wanaume kwa moyo wao wote lakini huishia kupata shukrani ya maumivu na fedheha ndani ya mioyo yao.nakufanya kuchange direction na hatimaye nao huamua kutafuta sehem ya kutulizwa maumivu na majeraha yao.
mwishowe mambo kama haya yakusalitiana ndio huwa matokeo yake
Mi mkristo ni miaka 5 tangu nifunge ndoa na mke wangu.
Ni Mwezi 1 tangu huu mkasa kunipata.
Nilisafiri kibiashara na niliaga kuwa sitarudi kwa siku tatu mbele (nikawaida yangu ninapokuwa na safari za kibiashara), kwa siku hiyo moyo ulikataa kabisa kuendelea na safari niliamua kurudi nyumbani na nikapitia na zawadi za wanangu, mishare ya saa 3 usiku nilifika nyumbani nikasikia vicheko vya mwanaume ndani, sikujua ni nani niliendelea kusogea mpaka dirishani kuchungulia nikaona mke wangu na mwanaume wakiwa uchi wa mnyama (hawakuzima taa) wakifanya sex, niliwahi mlangoni na kufunga mlango kwa nje na nikaanza kupigia simu rafiki na jamaa ili kunipa msaada (wakati huo sijui kama ni mdogo wangu).
kufungua mlango daaa! mdogo wangu....! Iliniuma sana hata wazazi wetu na ndugu pia.
Mdogo wangu alifukuzwa nyumbani baada ya kikao cha ukoo.
Shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu.
Maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu.
Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lakini nafsi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kweli naombeni msaada wanajamvi.
kILL HIM AND HER. THIS IS THE ONLY BEST ADVICE THATS AVAILABLE FOR YOU!
shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu.
Maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu.
Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lakini nafsi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kweli naombeni msaada wanajamvi.
Ushauri mzuri sana dada.
Ila siku zote huwa nahofia kufanya maamuzi mepesi. Akiingia kwenye uislamu kwa sababu tu ya kupata ruksa ya kutoa talaka ( kitu ambacho sidhani kama ninawezekana anyways. kwamba alifunga ndoa ya kikristo na akibadili dini yeye ampe talaka mkewe kwa sheria ya kiislamu? haijaingia akilini). lakini baada ya kutaliki na pengine kuoa wanawake 4 ili kukidhi tamaa zake za mwili, akigeukia kwenye matakwa mengine ya kiislamu ataweza? hukawii kukuta hata kuacha kula kitumoto ikamshinda atii.
hata binti akiomba ushauri kuolewa na mtu wa imani tofauti, ni busara kusisitiza kuingia kwenye imani kwa sababu anaamini waaminivyo. ndo hayo unakuta mtu kabadili dini, siku mume akimuudhi tu anaenda kumalizia hasira kwenye kitimoto. haipendezi
King'asti na Faiza sidhani kama mnakoelekea mtamaliza. BTW Hivi kubadili dini ndo suluhisho eenh! Hizi dini zisitufanye tushindwe kutumia common sense Kha!Hakuna dini yeyote duniani au kitabu cha dini yeyote duniani kinachotangaza, oeni "mmoja tu" isipokuwa Qur'an. Jee unalijuwa hilo?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
King'asti na Faiza sidhani kama mnakoelekea mtamaliza. BTW Hivi kubadili dini ndo suluhisho eenh! Hizi dini zisitufanye tushindwe kutumia common sense Kha!
Kila kitu dini dini waliotuletea wenyewe wanaendelea ila sisi zinatuwehusha.