Mdogo wangu kanisaliti

Mdogo wangu kanisaliti

wengi humu naona mmeegemea upande 1 lawama zotee mwamtupia mwanamke but katika huu Uzi kuna mengi sana yakuyaangalia .
hapa jamaa kaeleza tu kwa upande 1 ujue some times wanawake huwa wanakuwa sahii kabisa unaweza ukaona ndani ya hiyo 5yrs mwanamke kafaidi raha ya ndoa kwa mwaka 1 tu baada ya hapo nimateso ya moyo na masaliti kibao kutoka kwa mumeo lkn kwakuwa huyu jamaa hajayabainisha hayo basi mwanamke ndio anaonekana mkosaji sana kuna wanawake huwa wanatupenda wanaume kwa moyo wao wote lakini huishia kupata shukrani ya maumivu na fedheha ndani ya mioyo yao.nakufanya kuchange direction na hatimaye nao huamua kutafuta sehem ya kutulizwa maumivu na majeraha yao.
mwishowe mambo kama haya yakusalitiana ndio huwa matokeo yake
 
Niliwahi kuhudhuria kikao kina kisa kama chako, kwenye kikao mwanamke aliyekuwa akitembea na mdogo wake mumewe akauliza, "Ipi bora, kutembea na mdogo wake mume wangu au kutembea na watu wa nje? kwani mume wangu haniridhishi". Hapo sasa!

Kuna uwezekano hata hao wanao wa kwanza si wako.

Ushauri:

Amma kubali matokeo usamehe yaishe, lakini kama unajijuwa kuwa pumzi zako ni ndogo uukubali ukweli kuwa ataliwa tu, sasa ukubali amma aliwe na mdogo wako amma akaliwe nje!

Au muwache aende na njia zake, maana humuwezi huyo.

Kama dini yako haikuruhusu kutoa talaka, ingia kwenye Uislaam, umuwache kihalali. uendelee na maisha ya Kiislaam, utakuwa umeuwa ndege wawili kwa jiwe moja, kwanza utakuwa umeongoka kwa kutoka kwenye kiza cha kuabudu binaadam mwenzako na kurudi kwa kujisalimisha (Islam) kwa aliyekuumba na pili utakuwa umetatua tatizo la talaka kwa mkeo.

We bibi mgonjwa wa akili tena kichaa mkomavu! kama jamaa nguvu ni kidogo akioa mwingine si ataendelea kugongewa?
 
Very complicated, nadhani maamuzi sahihi unayo mwenyewe. Tafakari kwanza ndo uchukue maamuzi ambayo hutajayajutia.
 
Ndugu umevyoeleza kama wewe umehadithiwa huo upande mwingine kwa ufasaha. Hauwezi kuwa malaika kiasi cha kudhania hayo. Unless uwe mdogo wake uliyemsaliti.
Bila shaka unahusika mkuu.
wengi humu naona mmeegemea upande 1 lawama zotee mwamtupia mwanamke but katika huu Uzi kuna mengi sana yakuyaangalia .
hapa jamaa kaeleza tu kwa upande 1 ujue some times wanawake huwa wanakuwa sahii kabisa unaweza ukaona ndani ya hiyo 5yrs mwanamke kafaidi raha ya ndoa kwa mwaka 1 tu baada ya hapo nimateso ya moyo na masaliti kibao kutoka kwa mumeo lkn kwakuwa huyu jamaa hajayabainisha hayo basi mwanamke ndio anaonekana mkosaji sana kuna wanawake huwa wanatupenda wanaume kwa moyo wao wote lakini huishia kupata shukrani ya maumivu na fedheha ndani ya mioyo yao.nakufanya kuchange direction na hatimaye nao huamua kutafuta sehem ya kutulizwa maumivu na majeraha yao.
mwishowe mambo kama haya yakusalitiana ndio huwa matokeo yake
 
pole sana kaka hapo cha msingi endelea tu kuishi na mkeo uzuri zaodi huyo uliyemfumania ni mdogo wako wa damu na sii mtu baki,hayo mambo yametokea sana huku ninapoishi na wengi huwa wanasamehe tu kaka,hakuna jinsi yameshatokea hayo.Mfano nilioushuhudia kuna jamaa mmoja ana mke na watoto watatu yeye ni dereva bahati mbaya alimgonga mtu na huyo aliye mgonga ni hawa ndugu zetu wenye pesa zao,aliyegongwa hakuumia sana ila jamaa katupwa jela miezi 6 kifungo kimeisha anakuta mke anaujauzito wa miezi 5 aliyempa mimba mdogo wake,dogo akiulizwa kwanini umefanya hivyo anasema shemeji kanitaka kwa nguvu siku hiyo kaitwa mchana kweupee chumbani kaambiwa ukikataa napiga kelele unanibaka dogo akawa hana ujanja.Kwahiyo kaka hawa mashej muda mwingine ndio chanzo.
 
Ndio mwanamke pekee aliebaki duniani? Wakati unachumbia ndugu zako ndio walikushauri umchumbie? Kama kalala na mdogo wako basi kuna michepuko ya kutosha nje yenu....stuka chukua hatua fukuza malaya huyo..
 
so touched...Pole.
ni kazi kulala na kuamka na mtu kama huyo.....
 
Pole sana mkuu, nakushauri uachane nae mara moja.. itisha kikao waambie wazi huna amani na huyo mtu hapo home kisha nenda church kavunje ndoa.
 
ukasikia kicheko cha mwanamme ndani...ukakuta wako uchi wana sex!!!hao walikuwa wanasex huku wanacheka vicheko vya sauti!!
 
Dah! Dunia ina mambo hii....!Inasikitisha mno, pole sana najaribu kuvaa viatu vyako lakini mmh! Anyway jipe muda kutafakari pia jiweke karibu na Mungu akupe hekima katika lolote utaloamua. Ni ngumu, ila mna watoto wangapi? Then je tangu muoane ulishawahi kumsaliti kama ndivyo consider that japo ni ngumu lakini jiulize we ulishawakosea wangapi, je Mungu akihesabu makosa yako? Ila chukua ushauri Wangu wa a wali.

Wengi wanashindwa kuelewa mwanaume ndani ya nyumba anabeba msalaba mkubwa sana, yeye ni kichwa cha familia, atoke aache nyumba yake akakutafutie riziki, ahakikishe umelala pazuri, umekula vizuri, unaumwa ni yeye, nguo yeye bado hukai mtu na akili zako ukafikiria yote hayo unamvulia nguo mtu ambaye hawezi hata kukusaidia kwa lolote, inanishangaza sana, fukuza mkuu huyo mwanamke ni tatizo na ataendelea kuwa tatizo kwako ukimkaribisha.
 
Samehe saba mara sabini maana yametokea tayari pia wakati unafanya fumanizi ni wazi ulijua kamwe ndgyo hawezi kukusaliti

Hakuna kusamehe upumbavu kama huo, mwanamke atakuona zoba kabisa, hujiulizi kabla hajamleta mdogo wako kwenye kitanda chako, akavunja amri ya sita na nduguyo, amefanya kwa wangapi, amekudharau kwa kiasi kikubwa sana, chumbani kwako? Katika kitanda chako? Ukimrudia watakuchapia watu mpaka mwisho, unatakiwa mwanaume mara nyengine uchukue maamuzi magumu hata kama yanaumiza.
 
"Shemeji shemeji huku mwazima taa"
 
Pole ndungu yangu umenikumbusha mbali iliwahi kumkumba kakangu kilichotokea alimwacha mkewe akaenda kutafuta maisha binti yupo nyumbani mpaka leo ila bro hana tym nae bwana mdogo yupo na sharubu zake
 
Pole sana ...
Jiulize kama mna watoto wstaishije mkiachana...

Kama umewahi kumsaliti kwa njia moja au nyingine samehe mara saba Mara Sabin
Mkeo haifai inahitaj moyo wa ziada kulala na mwanaume ndani na kitanda mnacholala sio

acheni kumpoteza mwenzenu nyinyi. Kwan kuna mayatima wangapi wanaishi na wanapata huduma zote? Kwan watoto bila mama hawawezi kuishi? Huon kwamba jamaa atakuwa kwenye msongo wa mawazo? Maisha yote
 
Mkuu Lee2 mimi naona hutakuwa na aman moyon vilevile hutakuwa na iman naye tena...... Hebu fikiria leo hii upo safarin kibiashara ukaamua kumpigia sim lakn kwa bahat mbaya haijapokelewa labda alikuwa mbali nayo hapo mawazo yako yatarudi kule kule kuwa yupo kungonoka. Ktk ndoa lazma kuwe na aman na iman pamoja na upendo lakin kama huna hivyo ndg yangu haina haja kuwa kwenye ndoa kwasababu hapo sku za kuishi znapungua na magonjwa ya moyo na vidonda vya tumbo vinakusogelea lakn kwann ifikie huko?? Uamuz ni wako mm nmekuambia hayo ambayo ningeyafanya
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom