Mdogo wangu kanisaliti

Mdogo wangu kanisaliti

Mkuu Lee2 mimi naona hutakuwa na aman moyon vilevile hutakuwa na iman naye tena...... Hebu fikiria leo hii upo safarin kibiashara ukaamua kumpigia sim lakn kwa bahat mbaya haijapokelewa labda alikuwa mbali nayo hapo mawazo yako yatarudi kule kule kuwa yupo kungonoka. Ktk ndoa lazma kuwe na aman na iman pamoja na upendo lakin kama huna hivyo ndg yangu haina haja kuwa kwenye ndoa kwasababu hapo sku za kuishi znapungua na magonjwa ya moyo na vidonda vya tumbo vinakusogelea lakn kwann ifikie huko?? Uamuz ni wako mm nmekuambia hayo ambayo ningeyafanya
 
Last edited by a moderator:
Hayyaaaaaaaaaaaa kumekuchaaaaa
ushauri ambao ni dawa nzuri kwa upande wangu... lakini kwanza mungu aniepushie mbali, lisije likanikuta!

sasa dawa ni hii (japo dini yenu navosikia mke ni mmoja tu, sina uhakika)..

ok sasa kwa upande huu wa dini ya ISLAM wake wa nne "MASHA'ALLAH".
UAMUZI WANGU:- ILI MUNGU AKUSAMEHE, ULIYEMKOSEA NDIO WA KWANZA ANATAKIWA AKUSAMEHE.
'
Sasa ili nimsamehe Mke wangu kwa kunisaliti anachotakiwa kufanya ni "NDOA" aolewe na yule aliyezini nae awe ndugu au rafiki.

nawaozesha maana wao ndio wanapendana kiukweli kabisa! kwangu anafanya maigizo. Amekusaliti kwasababu hakupendi na aliyeshirikiana nae kukusaliti ndio kwenye mapenzi yao. KWAHIYO WAPE FURSA WAWE WAWILI WAISHI PAMOJA.

UGOMVI UTAKUJA WAKIKATAA KUOANA- natoa vitendaji kazi vyao wote wawili!:A S angel: NDIO:nimekataa
 
Mi mkristo ni miaka 5 tangu nifunge ndoa na mke wangu. Ni Mwezi 1 tangu huu mkasa kunipata.
Nilisafiri kibiashara na niliaga kuwa sitarudi kwa siku tatu mbele (nikawaida yangu ninapokuwa na safari za kibiashara), kwa siku hiyo moyo ulikataa kabisa kuendelea na safari niliamua kurudi nyumbani na nikapitia na zawadi za wanangu, mishare ya saa 3 usiku nilifika nyumbani nikasikia vicheko vya mwanaume ndani, sikujua ni nan niliendelea kusogea mpaka dirishani kuchungulia nikaona mke wangu na mwanaume wakiwa uchi wa mnyama (hawakuzima taa) wakifanya sex, niliwahi mlangon na kufunga mlango kwa nje na nikaanza kupigia cm rafiki na jamaa ili kunipa msaada (wakati huo sijui kama ni mdogo wangu). kufungua mlango daaa! mdogo wangu....! Iliniuma sana hata wazazi wetu na ndugu pia. Mdogo wangu alifukuzwa nyumbani baada ya kikao cha ukoo. Shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu. maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu. Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lkn nafisi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kwer naomben msaada wanajamvi.

Baki na mdogo wako, achana na huyo mwanamke. Mdogo wako atabaki kuwa mdogo wako tu hata kama itakuwaje. Lakini mke sidhani, akiondoka imetoka.
 
We bibi mgonjwa wa akili tena kichaa mkomavu! kama jamaa nguvu ni kidogo akioa mwingine si ataendelea kugongewa?

Wewe mwenye akili nzima rudia post yangu uoneshe ni wapi nimeandika akaoe "mwingine"? punguani wahed.
 
Huyo mke umezaa nae watoto wangapi? Fukuza huyo mke, chukua wanao wapeleke kwa bibi yao. Kuanza upya si ujinga!! Hyo mimba msiitoe, hakina hatia hicho kiumbe!
 
Niliwahi kuhudhuria kikao kina kisa kama chako, kwenye kikao mwanamke aliyekuwa akitembea na mdogo wake mumewe akauliza, "Ipi bora, kutembea na mdogo wake mume wangu au kutembea na watu wa nje? kwani mume wangu haniridhishi".

Hakuna cha kutoridhishwaaa ni umalayaa tuu

Hapo ukinisoma vizuri nimeongelea kisa cha kikao nilichohudhuria mimi, na cha huyu sikijui ila nimetoa ushauri kama na yeye ni hali kadhalika. Siri ya mtungi...
 
Mi mkristo ni miaka 5 tangu nifunge ndoa na mke wangu. Ni Mwezi 1 tangu huu mkasa kunipata.
Nilisafiri kibiashara na niliaga kuwa sitarudi kwa siku tatu mbele (nikawaida yangu ninapokuwa na safari za kibiashara), kwa siku hiyo moyo ulikataa kabisa kuendelea na safari niliamua kurudi nyumbani na nikapitia na zawadi za wanangu, mishare ya saa 3 usiku nilifika nyumbani nikasikia vicheko vya mwanaume ndani, sikujua ni nan niliendelea kusogea mpaka dirishani kuchungulia nikaona mke wangu na mwanaume wakiwa uchi wa mnyama (hawakuzima taa) wakifanya sex, niliwahi mlangon na kufunga mlango kwa nje na nikaanza kupigia cm rafiki na jamaa ili kunipa msaada (wakati huo sijui kama ni mdogo wangu). kufungua mlango daaa! mdogo wangu....! Iliniuma sana hata wazazi wetu na ndugu pia. Mdogo wangu alifukuzwa nyumbani baada ya kikao cha ukoo. Shida inayosumbua moyo wangu kwa sasa ni ujauzito aliopewa mke wangu na mdogo wangu. maana tuna miezi 3 hivi tena yeye mwenyewe alishinikiza kutumia mipira ili kupanga uzazi lakini kwa sasa anaujauzito na yeye kakiri mbele ya wazazi kuwa ujauzito ni wa mdogo wangu. Wazazi mamenishauri kubaki na mke wangu lkn nafisi yangu kwa sasa hata kule kumsogelea tu haitaki any way ni mengi lakini kwa haya machache yananifikirisha sana na nakosa jibu yaani nimuache mke wangu(nimefunga ndoa ya kikristo) au nitoe mimba(dhambi)
sijielewi kwa kwer naomben msaada wanajamvi.


Nenda sehem kama likizo labda Dubai.china. Zanzibar au ngorongoro just relax hata kwa wiki1 then ipime akili yako ukiona unaweza samehe okeeeee ukiona huwezi mrudishe kwao.mwombe mungu sana akupe amani.pole bro
 
Agh, ndio maana nawapendaga sana ndugu zangu kina mangi, piga hesabu pesa ngapi katumia then piga risasi huyoo mbwa then jipige na wewe then dogoo msamehee.
 
............kwa alilolifanya mkeo hata kanisa watawapa talaka....huyo mwanamke hafai, wanaume wote waliojaa mjini hakuwaona mpaka azini na mdogo wako

na huyo mdogo wako ni shetani wa mguu mmoja hafai yaani hata undugu tupa kule mdelete kabisa kwenye mafile yako

hiyo mimba watajaza wenyewe...

hapo hata mke mrudishe kwao (kama hii stori ni ya kweli)
 
Nadhani kuna pahala tunajisahau baada ya kuoa..kwa maana ya wanandoa, kuna ubunifu tunaukosa ndio maana wenza wetu huchepuka kutafuta walichokikosa kwa njia ambazo huacha majonzi na simanzi kwa upande mwingine! Kaa chini na mkeo, na mdogo wako...busara ziwaongoze mtafikia muafaka tu!
 
Mi mdogo wangu akimla mke wangu wala haitaniuma!! labda maradhi tu ndo naogopa, ila kama yupo fresh ale tu.
 
Niliwahi kuhudhuria kikao kina kisa kama chako, kwenye kikao mwanamke aliyekuwa akitembea na mdogo wake mumewe akauliza, "Ipi bora, kutembea na mdogo wake mume wangu au kutembea na watu wa nje? kwani mume wangu haniridhishi". Hapo sasa!

Kuna uwezekano hata hao wanao wa kwanza si wako.

Ushauri:

Amma kubali matokeo usamehe yaishe, lakini kama unajijuwa kuwa pumzi zako ni ndogo uukubali ukweli kuwa ataliwa tu, sasa ukubali amma aliwe na mdogo wako amma akaliwe nje!

Au muwache aende na njia zake, maana humuwezi huyo.

Kama dini yako haikuruhusu kutoa talaka, ingia kwenye Uislaam, umuwache kihalali. uendelee na maisha ya Kiislaam, utakuwa umeuwa ndege wawili kwa jiwe moja, kwanza utakuwa umeongoka kwa kutoka kwenye kiza cha kuabudu binaadam mwenzako na kurudi kwa kujisalimisha (Islam) kwa aliyekuumba na pili utakuwa umetatua tatizo la talaka kwa mkeo.

Kweli akili ni nywele...
..mtu ana tatizo la kuliwa mkewe wengine mnakuja na ushauri wa kubadili dini..aaaaaah!
 
yapo ya kusamehe lakini sio haya na ndio maana uislam utabaki kuwa dini sahihi huyo hukumu ni kupigwa mawe mpaka kufa na huyo mdogo kwakuwa hajaoa fimbo mia na hio ndio haki yao.na huyo mke hutakiwi kuishi naye muache wako wengi tu hao mtaani wanaotaka ndoa kwa hali yoyote hakuna justification ya zambi .muaaacheeeeeeeeeeeeere!!!!!!!!!!!!
 
hili jambo lipe mda usitoe maamuzi ya haraka km mna watoto ...
"kama Mungu angehesabu makosa yetu ni nani angesimama mbele zake"
 
Mi mdogo wangu akimla mke wangu wala haitaniuma!! labda maradhi tu ndo naogopa, ila kama yupo fresh ale tu.

Aisee..... Eli79 umesemaje?
 
Last edited by a moderator:
Mimim nina wasiwasi hata hao watoto wengine sio wa kwake.
 
jamani pole sana ila jamani wifi nae kazidi wanaume woteee akaamua kula mdogo wako... una moyo mi nisingeweza hata mwanagalia uwii
 
Back
Top Bottom