Mdogo wake mume wangu amenitongoza

Mdogo wake mume wangu amenitongoza

Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
HAINAGA USHE..............TUNAKULA........ TABU YA KUOA WAKE VILAZA NDIYO HII...WANAUME TUWE MAKINI
 
Sasa nimeamini MWANAMKE NI NYOKAAA...!! Yani mtu na kaka akee wameishi kwa amani mpaka wamekuwa watu wazimaa wew Shetwaniiiii na genyee zakoo unataka kujaa kuwagombanisha...wauane...familia ipasukee...daah
 
Hujiulizi kwann kakutongoza!!?unajilengesha.mno kwake yawezekano uko cheap sana kwa unvyojiweka
 
Usitudanganye hapa lazima umeshampa, umenogewa sasa unataka kujifanya ni mtakatifu. Endelea kumpa.
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
We Utakuwa na Nyota Ya Umalaya ...aiseeee , Note: Kujiongeza ndio somo pekee lisilokuwa na sylabus....
 
Na akimvulia chuppi akatombwa ndio mwisho wa kuharibu ndoa yake mwenyewe.

Anafanya mazoea ya kitoto na shemeji yake aje kumsingizia shetani
Ndo hapo sasa mazoea gani hadi ya out na kunywa pombe?
 
Mpe akutafune kwani anaacha kidole humo kusema kaka yake atajua....
 
Mambo madogo unataka yaonekane makubwa!ningekuwa mi huyo dogo kweli ningekushika kwa nguvu na ungeniachia nyapu kilaini tuu.maana unaonyesha una kiwingu we mwanamke
 
Inamaana kwel hujui LA kufanya au unatukebehi? Kama ingekuwa mkweli ungemwambia mumeo iweje sisi invisible ndo unatutaka ushauri?
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
Makabila mingine enzi zile, Kaka akifariki dogo anakuridhi labda sababu ilikuwa ni hii.
 
Una kila viashiria vya kutaka kumpa huyo shemeji yako! Kimbia zinaa sio nzuri mumeo akijua itakuwa balaa.
 
Back
Top Bottom