Mdogo wake mume wangu amenitongoza

Mdogo wake mume wangu amenitongoza

Swali mmefunga ndoa? Kama bado acha mazoea na shemeji yako huyo anakutia matatizo

Saana msaidie laki aende afrika sana akanunue malaya amfanye anavyo taka.
 
hapo maamuzi ni yako kama unampa au la..ila kumbuka pia kuwa ukishampa hamtaishia leo tu huo mchezo utaendelea na ipo siku mmeo atagundua.
na hapo atakuwa ameua ndege wawili kwa jiwe moja
yaani wewe anakuacha na mdogo wake undugu unakufa.
Acha kumuwangia mwana.... ushauri gani sasa unampa, jamaa anaelekea kupewa mzigo afu wewe unataka kumpeperushia njiwa wake bure
 
Acha kumuwangia mwana.... ushauri gani sasa unampa, jamaa anaelekea kupewa mzigo afu wewe unataka kumpeperushia njiwa wake bure
huo ndo ushauri hata wewe nitakupa...

otherwise uwe mtoto mdogo unajifunza mapenzi au hata mpenzi huna.

hivi ushawahi kuwaza mkeo analiwa tena na ndugu yako
 
huo ndo ushauri hata wewe nitakupa...

otherwise uwe mtoto mdogo unajifunza mapenzi au hata mpenzi huna.

hivi ushawahi kuwaza mkeo analiwa tena na ndugu yako
Ahahahahahahah, nawazaga sana afu naassume ni kitu hakiwezi tokea..... acha tu dogo apige provided kaka hatojua. Kwani we mkeo akifukunyuliwa na usijue kwani kuna shida gani.
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
Chinungumbile Munu chakumemena!
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.

WE NI MALAYA NA UNAWAJIBIKA KWE KITENDO CHA SHEMEJI YAKO.
 
Ahahahahahahah, nawazaga sana afu naassume ni kitu hakiwezi tokea..... acha tu dogo apige provided kaka hatojua. Kwani we mkeo akifukunyuliwa na usijue kwani kuna shida gani.
kumbuka kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha mkuu huwa wananogewa hawa na hapo ndo jamaa anapogundua sasa....
ila asipogundua haina noma
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
Msaga suumu-unaniteeeega sheeemeji.
 
Hayo ndo madhara ya kutumia mua Kama Fimbo ya kutembelea , lazima utautafuna tuu haina jinsi Una mtunza kama mumeo bhana
 
Acha kufikiria uzinzi na uasherate, fukuza huyo dogo, mwambie kaka yake, kama kweli unapenda ndoa yako..
 
Umetengeneza ww mazngra had yametokea pambana nayo coz wanaume ni wanaume tu hata awe chz
 
Endeleeni na uchafu wenu tu. Kama mnataniana na mmezoeana mpaka kutoana out.
 
huo ndo ushauri hata wewe nitakupa...

otherwise uwe mtoto mdogo unajifunza mapenzi au hata mpenzi huna.

hivi ushawahi kuwaza mkeo analiwa tena na ndugu yako
Aisee tunatifautiana utamaduni. Sisi wafugaji mke akiliwa na ndugu siyo issue kiviile. Lakini akiliwa na MTU baki mtiti wake ni lazima roho ya mmoja wao ama wote zitoke
 
Mimi labda nisitoe ushauri.
Ila kama nikiruhusiwa ni hivi kumpa mdogo wa mumeo siyo tatizo kwa misingi ya mila zetu makabila ya wafugaji. Ila kwavile tumeendelea endelea na sisi kama nyinyi waswahili, basi ukimpa unafanya siri ili mume asijue, asijeona anadharaulika. Pia kinga ni muhimu.

Sasa kipi bora, uchukue utamu wa mumeo umpatie mpita njia? Mbaya sana, bora ale mdogo wangu rafiki!
 
Back
Top Bottom