Mdogo wake mume wangu amenitongoza

Mdogo wake mume wangu amenitongoza

yani mimi kabisa uyo...... sjui kwa nn siwezagi kuvumilia mazoea na mwanamke
yan uknizoea tuu lazma nikutongoze

na uktaka nkuheshimu mazoea yawe kdogo.. ukzidisha tuu naktongoza fasta yan
pia siezagi hata kua na urafki na mwanamke asee labda uwe dem angu
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
uko njia panda??
 
Wewe ndiye uliemtengenezea mazingira yote hayo!...Kama unabisha ask me how!
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
Itakuwa wewe ndio unamtaka sasa umemfikishia ujumbe kwa njia tofauti, naye akikubali mtumie zana kwani kama kuna magonjwa utaua kaka na mdogo wake
 
hapo maamuzi ni yako kama unampa au la..ila kumbuka pia kuwa ukishampa hamtaishia leo tu huo mchezo utaendelea na ipo siku mmeo atagundua.
na hapo atakuwa ameua ndege wawili kwa jiwe moja
yaani wewe anakuacha na mdogo wake undugu unakufa.
 
Habari za wikiendi!

Mume wangu hayupo yapata wiki ya tatu amekwenda Rwanda kibiashara hapa nipo na mdogo wake yupo chuo mwaka wa tatu Udsm.

Tumeishi Kwa kutaniana sana kila siku kama kitu na mumewe.Chakula huwa namuwekea mezani tunakula pamoja siku za wikiendi tunakwenda out bila woga.

Leo tukatoka mpaka bahari zoo maeneo ya Tanganyika nyuki tulipotoka tukaenda kwenye msonge Fulani kupata lunch na vinywaji kadhaa.

Nilipata castle nne na yeye alimeza Dompo moja cha ajabu sikutegemea kabisa akaniomba penzi bila aibu huku akisema tufanye siri kaka asijue.

Nilipatwa na kigugumizi sijamjibu mpaka hivi sasa nipo chumbani kwangu nimejifungia na alikuja kugonga mlango nikamchunia.Nipo njia panda sijui nifanyaje jamani.
Hauko serious mkuu yani uko njia panda? Kwelii??!!!
Itakuwa una vielement vya kutaka dushe ya shemejio.
 
Mmnh....Naona dalili za mtu kuliwa na shem yake.
 
Back
Top Bottom