Khee! We nawe una vitishooo!Huo msiba wa kwa jirani utaamia kwako soon..Kila la kheri
Ni Kweli.. Ila inabidi wayatatue tu, na pia mda mwingine nyinyi ndio mnasababisha wanaume wajiwazie peke yaoSasa Nje ya mada ndugu yangu na lakuvua suruali linahitaji ushahidi?kwanini asitafiti shida ya mwenzie kwanza?tabia mbaya hiyo kujiwazia peke ako!anamapungufu huyu ndio mana mwenzie anamnyima
Haaa haaaa! Umenikumbusha differential na integral maths mkuuSisi wana mahesabu husema K=Constant
i.e Utazunguka poooote, lakini K*** ni ile ile tu
My dear wengine ni kengele za familia....Mpendwa usiseme hivo mwanaume ni kichwa cha mbouo Oooh sorry ni kichwa cha familia
Sadaka nitazifikisha salama kabisa.
Massive!! nimecheka vibaya mno....daaahYashandaraaaaahoka ya ekotikeeeee
Huyu yupo ndani kwake,akifungua kama wife breki ya kwanza chumbani kwake teh teh teh!Mkuu huo naona ni mtego ila awa viumbe ni waajabu sana kweli imagene umeanza kumtafuna alafu unasikia mlango NGO ngo NGO unafungua unakuta wife naona kama move ivi daha ebu subilia tuone kitakacho tokea jiami kwanza
Huyo mwanamke anatafuta sababu ya kukuacha hivyo ameamua kumtumia mdogo wake ili akufumanie muachane