Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Usiwe mvivu wa kufanyiwa kila kitu, google uone faida na hasara za GMOKukataliwa kitu nchi nyingine sio kigezo cha tanzania kukataa pia. Sio kweli kuwa GMO zinaleta utaahira. Ila sababu za kulinda wakulima wetu ndio kubwa zaidi. Nadhani mdee hajafikia uwezo mzuri wa kulijengea hoja hili. Swala liko kwenye mjadala wa kimataifa. Mdee ni lazima ajue faida na hasara za GMO. Angefafanua kwa wana jf kuhusu hasara na faida zake kwanza asilete siasa.