mama yuva
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 225
- 47
Unataka arembe ili iweje? ndio lugha wayoelewa watanzania tatizo liko wapi?Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
Unataka arembe ili iweje? ndio lugha wayoelewa watanzania tatizo liko wapi?Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
uliuona ule mkataba ulioandikwa kichina na akasaini?????????Alishawahii ingizwa choo cha kiume?
Alishawahii ingizwa choo cha kiume?
Jitahidi kutafuta siku moja utajua zaidi make naona unahamu ya kujua kazi ya idara ya usalama wa taifa lakini komaa kweli make mpaka mungu anaweza kukuchuku hujajua kazi ya hawa jamaa make kama hawajulikani iweje kazi zao uzijue jipange hasa.Zamani nilijua usalama wa taifa walipaswa kujua zaidi juu ya makampuni kama haya yanayo kuja kuwekeza nchini kwetu kumbe kazi ya usalama wa taifa ni kutengeneza video na kungoa watu meno na kucha bila gazi...
hivi choo cha kike kipoje? maana huku mtaani mambo hayo hatunayo. vyoo tulivyonavyo tunatumia kwa kushare wanaume na wanawake
laptop yake anaitumia kuangalia ngono tu badala ya kufatilia mambo kama haya......
Alitakiwa aseme: Rais ameingizwa kwenye choo cha Mdee! Unaondoa tu kike unaweka jina lake.
lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
Ndugu yangu yegella usalama wa taifa ndio wanaosaidia makampuni kama haya kupata tenda haraka.Zamani nilijua usalama wa taifa walipaswa kujua zaidi juu ya makampuni kama haya yanayo kuja kuwekeza nchini kwetu kumbe kazi ya usalama wa taifa ni kutengeneza video na kungoa watu meno na kucha bila gazi...
Yani umeandika maneno mengi namna hiyo kumjadili mtu?Tatizo lako unafikiri mawazo na fikra zako zako ndivyo zilivyo pia na kwa watu wengine.
Kwa akili yako unataka kutuambia na kutuaminisha kama Halima Mdee anaweza kuwa na Jf ID nyingine zaidi ya hiyo verified anayotumia?. WHY?.
Unapoanza kuishambulia ID ya mleta thread huku ukitaka kutuaminisha kama hiyo ID niya waziri fulani ni kutaka kujijengea umaarufu kwa nguvu za kuokota.
Mtu fake bana, psychologically anafikiri kila mtu ana mawazo ya ki-fake fake!.
Ukiambiwa kumtaja huyo waziri ili tujue ukweli wako, unakuja na pre-emptive defence kuwa huwezi kumtaja kwa sababu sheria za JF haziruhusu name calling!!
Halima Mdee anaitaji pumziko la nafsi ndiyo maana anapenda kuropoka ovyo.
Yani umeandika maneno mengi namna hiyo kumjadili mtu?
ukiwa kenge usile yai la kuchemsha.
Nilianza kushangaa baada ya rahisi kusema hawajui wamiliki wa Richmond, baadae nikaambiwa ndege ya jeshi la nchi nyingine limekuja na kusomba wanyama hapa kwetu na eti hawakujua nikajua hawa siyo usalama wa taifa bali wahuni wa taifa aka usalama wa mafisadi na majangili....na sasa wameongezwa jukumu ni kuongoa kucha na meno....Ndugu yangu yegella usalama wa taifa ndio wanaosaidia makampuni kama haya kupata tenda haraka.
Siku zote nitaendelea kusema halima si mwadilifu hapo tena kapuguza chuoni alikuwa na matusi yale ya nguoni balaa.
Hivi kibibi wa hapo bungeni ameolewa au pumziko lake ni Tundu Lisu...Halima Mdee anaitaji pumziko la nafsi ndiyo maana anapenda kuropoka ovyo.