KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 732
Ni lugha ya kifalsafa,kama hujaelewa jinyonge....ajira mpya za masisiem kwenye mitandao....Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
Ni lugha ya kifalsafa,kama hujaelewa jinyonge....ajira mpya za masisiem kwenye mitandao....Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
Katika mchango wake kwa bajeti ya wizara ya kilimo ameongea kwa uchungu sana kuhusu ujio wa MONSANTO kupitia mradi wa uwekazaji katika ukanda wa kusini(SAGOT).hawa jamaa ndiyo wazalishaji wa GMOs na hapa nchini wameshaanza katika zao la Pamba mbali ya mbegu zao kuwa na madhara ya kiafya vile vile inadumaza wakulima wadogo coz pindi unapotumia mbegu zao unamamlaka juu ya mazao yako......
Hivi waalam wote tulionao katika wizara ya kilimo hili hawalioni? Raisi anaingizwa choo cha kike na mawaziri pamoja na wataalamu wanashindwa kumshauri?
Big up sana Kamanda Mdee ujumbe umefika........sauti yako imefunika satu 40 za wabunge wa CCM
:rockon:
MuongoooAnadanganywa na nani Kutwa?
Choo cha kike?cha mdee au? je Mdee mbona bado yukokwenye hicho choo au kaenda cha kiume? kudadadeki wabunge nyie naona mmezama kweli na lugha zenu hizi..... haya bana yetu macho, itafika tu wkt wa kutoa muarobaini na kama hamjui basi nawaambia utakuwa ni mchungu sana!!
Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
Jadiri hoja sasa maana suala la Lugha umelizungumzia katika coments mbili sasahalima mdee ana hoja nzuri lakini lugha ya kihuni anayotumia inafanya hoja yake idharaulike
Well done Mdee, hao jamaa ni kimeo hata ukijaribu ku-google unapata ufisadi wao, pamoja na kukuwa kwa kasi TEKHOMA hivi rais wetu ataendelea kudanganywa mpaka lini?
halima mdee ana hoja nzuri lakini lugha ya kihuni anayotumia inafanya hoja yake idharaulike
Hakuna aliyedharau hoja yake akiwamo mimi kwani kusema "choo cha kike" ametumia maneno ya busara kuliko Come on F**k you!! na Siongei na mbwa bali mwenye mbwa au unataka wakulima wa sakalilo kule sumbawanga waje Dar kuuza "CHUPI NA SIDIRIA?-kESSY'.
Alichoongea Mdee ameongeza msisitizo na kisifa kwa alichokuwa anaongea. Nakufagilia Mdee!!!
Fafanua Mkuu!
Choo cha kike?cha mdee au? je Mdee mbona bado yukokwenye hicho choo au kaenda cha kiume? kudadadeki wabunge nyie naona mmezama kweli na lugha zenu hizi..... haya bana yetu macho, itafika tu wkt wa kutoa muarobaini na kama hamjui basi nawaambia utakuwa ni mchungu sana!!
halima mdee ana hoja nzuri lakini lugha ya kihuni anayotumia inafanya hoja yake idharaulike
Ni nzuri ukilinganisha na ile ya Serukamba!!!! Ila lugha ya choo cha kike ni ya kifasihi na inaeleweka!! Unatumia lugha ya imaginary picture kuonesha mtu amekosea!! Mfano imagination ya mwanaume anaingia choo cha kike na mwanamke anaingia cho cha kiume.Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
Kutokana na maelezo ya Mdee ni kwamba unapoamua kutumia mbegu za Monsanto unakuwa umeingia kwenye kilimo cha mkataba(Contract farming) naomba kuwasilisha mkuu.
Tafadhali ondoa hayo maneno!