Mdee: Rais ameingizwa 'choo cha kike'

Mleta mada chakuumaeee???HILO NI JEMBE MOJA LILILO SAWA NA VICHWA VYA KIJANI MIA.
 
Monsanto is notable for its involvement in high profile lawsuits, as both plaintiff and defendant. It has been involved in a number of class action suits, where fines and damages have run into the hundreds of millions of dollars, usually over health issues related to its products. Monsanto has also made frequent use of the courts to defend its patents, particularly in the area of agricultural biotechnology, as have other companies in the field, such as Dupont Pioneer and Syngenta.

Monsanto - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Je kama Halima ndiye aliyeiweka humu?

-Kwanza uombe radhi kwa kuleta complaints kwenye jukwaa la siasa huku ukijua kuna jukwaa la complaints.

-I don't know what exactly are you trying to achieve Hon'ble deputy minister

-Si ndani ya bunge hilo hilo spika wa bunge alimkataza Dr.Slaa kuleta habari ambazo source ni mitandao?Mawazo primitive kabisa kabisa

-Mbunge kijana na naibu waziri mzima alitakiwa afanye better kuliko haya maana umekuja huku tena kwa kuingia sehemu ambayo siyo kwa ajili ya kutafuta political credit huku ukijua kwamba ungeweza kumkumbusha huko huko bungeni hata kwa vimemo tu

-By the way tunasubiri bajeti yako kwa hamu maana wizara yako imewaumiza watanzania kuliko kawaida.Fanya kazi

Never in the history of Tanzania have we descended to this level of shame, ridicule and sham in our political fraternity and it is a pointer to things that will follow should we continue to trivialize its sensitivity.
Tatizo lako unafikiri mawazo na fikra zako zako ndivyo zilivyo pia na kwa watu wengine.

Kwa akili yako unataka kutuambia na kutuaminisha kama Halima Mdee anaweza kuwa na Jf ID nyingine zaidi ya hiyo verified anayotumia?. WHY?.

Unapoanza kuishambulia ID ya mleta thread huku ukitaka kutuaminisha kama hiyo ID niya waziri fulani ni kutaka kujijengea umaarufu kwa nguvu za kuokota.

Mtu fake bana, psychologically anafikiri kila mtu ana mawazo ya ki-fake fake!.

Ukiambiwa kumtaja huyo waziri ili tujue ukweli wako, unakuja na pre-emptive defence kuwa huwezi kumtaja kwa sababu sheria za JF haziruhusu name calling!!
 
Huu nao ni umbea tofauti na umbea mwingine huu upo kidijitali zaidi
 
Je kama Halima ndiye aliyeiweka humu?

-Kwanza uombe radhi kwa kuleta complaints kwenye jukwaa la siasa huku ukijua kuna jukwaa la complaints.

-I don't know what exactly are you trying to achieve Hon'ble deputy minister

-Si ndani ya bunge hilo hilo spika wa bunge alimkataza Dr.Slaa kuleta habari ambazo source ni mitandao?Mawazo primitive kabisa kabisa

-Mbunge kijana na naibu waziri mzima alitakiwa afanye better kuliko haya maana umekuja huku tena kwa kuingia sehemu ambayo siyo kwa ajili ya kutafuta political credit huku ukijua kwamba ungeweza kumkumbusha huko huko bungeni hata kwa vimemo tu

-By the way tunasubiri bajeti yako kwa hamu maana wizara yako imewaumiza watanzania kuliko kawaida.Fanya kazi

Never in the history of Tanzania have we descended to this level of shame, ridicule and sham in our political fraternity and it is a pointer to things that will follow should we continue to trivialize its sensitivity.
kaileta yeye mtoa mada, baadae atasema pia hakumu-acknowledge yeye kwa kuileta hapa, lol!
 
Tunachotuumiza Tanzania ni kuwa na wasomi wasiofanya kazi za kisomi. Najua kunauzuri wa kuwa na kitu kama hicho, lakini tunauwezo wa kusimamia hiyo teknolojia inapokuja ndani ya nchi.

Hoja ya India kufukunza sio ya msingi. India wanawasomi wanaoweza kutambua madhara yanayokuja, wana maabara za kutosha pia na tafiti zao sio za kuangalia watoto wanakula mara ngapi kwa siku.


Wizara ya kilimo inaweza kutuhakikishia uwezo wao wa kusimamia hayo? Wana maabara? Najua ipo ya Mikocheni lakini haina uwezo huo wa kuendesha na kusimamia GMO products.

 
halima mdee ana hoja nzuri lakini lugha ya kihuni anayotumia inafanya hoja yake idharaulike
Bungeni kama umeidharau ni wewe, hiyo nahau ya kimjini mjini wala sio lugha mbaya wala ya dhihaka, ila kama umekwazika na unaridhika hoja ni nzuri hebu tuwekee kwa maneno ya kiungwana basi sio wapinga tu kwa sababu hoja imetoka Chadema.
Basi mwisho wa siku tutaigiza ustaarabu wa Mombasa kwenda kumkamata mharifu wasema hivi" Habari yako kaka, naomba nikukamate...."
 
Well done Mdee, hao jamaa ni kimeo hata ukijaribu ku-google unapata ufisadi wao, pamoja na kukuwa kwa kasi TEKHOMA hivi rais wetu ataendelea kudanganywa mpaka lini?
laptop yake anaitumia kuangalia ngono tu badala ya kufatilia mambo kama haya......
 
Zamani nilijua usalama wa taifa walipaswa kujua zaidi juu ya makampuni kama haya yanayo kuja kuwekeza nchini kwetu kumbe kazi ya usalama wa taifa ni kutengeneza video na kungoa watu meno na kucha bila gazi...
 
Lakini mimi naona Raisi hajaingizwa....kaingia mwenyewe choo cha kike kwani yeye gogo?
Inasemekana watendaji wake ndo wanamuangusha....!
mi nilifikiri ameingizwa cha MASHOGA......I saw this coming.

OOOhhhh....Kilimo kwanza, we can feed Africa.....huku wizara ya Kilimo inaomba 333 bilioni tu, sawa na 1.8% ya budget ya taifa.

Au labda sisi watanzania ndio t6umeingizwa choo cha machoko.
Kwanini kila siku kuna madudu ya ajabu lakini sisi kimyaaaa.....mijamaa inaimaliza nchi tu!
 
Kuna mhadhiri wangu SUA alitueleza kuwa Kilimo Kwanza kimeasisiwa na watu 20. Wajumbe 10 kutoka makampuni ya binafsi ya kibiashara na wajumbe 10 kutoka serikalini. Mtu mwenye kutaka kuongeza ufahamu kuhusu swala la kilimo kwanza anaweza kumtafuta mhadhiri aitwaye Dr. Gabagambi wa SUA. na hata mambo ya GMO yanaleta utaahira au la, anaweza kujibu tu.
 
Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri

Ni kweli sio lugha nzuri....wenye lugha za kuudhi wa upande wa pili wanaposifiwa unategemea yeye afanyeje....cha msingi kiti kitende haki....nobody will dare to talk like that in the house!
 
Heshima kwake Mdee. Nimetangaza kuanzia leo nitakuwa namwamkia Mdee, nimemuangalia kwa Makini leo. Ameongea maneno ambayo kwa ccm itawachukia miaka 50 kuyapata kwao.
 
Siku zote nitaendelea kusema halima si mwadilifu hapo tena kapuguza chuoni alikuwa na matusi yale ya nguoni balaa.
 
Back
Top Bottom