Mdee: Rais ameingizwa 'choo cha kike'

Mdee: Rais ameingizwa 'choo cha kike'

Kama JF ni author wa hiyo article ange quote na kuisifu lakini JF siyo author nao wameichukua google au kwenye mitandao mingine. Pia hii article inapatikana maeneo mengi online kwa hiyo kumtaka Mh. Halima Mdee ku apologize ni ushamba na badala yake tunatakiwa kumsifia kwa kutoa hoja za kisayansi ambazo ni well researched.

Sema wewe Mvumbuzi umevumbua hiyo labda watasema huhitaji kutoa credit. Wengine tutaambiwa tunahitaji credit hata kukohoa sasa.

Kusema kweli, mie sioni lalamiko la msingi hapa.

Mkiniambia Kigwangalla ka plagiarize kitabu kuhusu Korea, katafsiri tu maneno kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili kama kamanda Companero alivyomkamata, then nitaelewa na kuunga mkono kampeni dhidi ya plagiarism.

Mnamlaumu mtu hajatoa credit Jamii Forums wakati Jamii Forums penyewe si kwamba mtu kachabanga mambo mwenyewe? Na yeye katoa sehemu nyingine?

Huu uroho wa credit unatoka wapi huu?

Kwamba hili jambo limekukereketa na kuna mbunge kalifikisha bungeni haitoshi? Unataka credit? Kwa copy paste yako?
 
Duh!! naona una kazi maalumu ya kumfatilia Ben Saanane.
Sina muda na sababu ya kumfuatilia kwa sababu hata simfahamu na hata yeye hanifahamu. Lakini mtu akipita kwenye anga zangu lazima apate kile alichokifuata.

Tuko hapa JF kupashana habari, kuelimishana na ikibidi, kujenga urafiki wa kweli kwa manufaa si yangu au yako tu, bali pia kwa taifa.
 
Ben kesha-hint utetezi wa kwamba hata huko anaweza kuwa mwanachama pia.

Ni kweli huyo jamaa ni member kwenye forum nyingi.Nilimkuta political forum ya US kwa jina la Lin***n na jinsi alivyokua akichangia sikujua kama ni mbongo hadi nilipojichanganya na yeye kuingia mtegoni.Hata ghananation ya ghana yeye ni member kwa jina la....
 
Ni kweli huyo jamaa ni member kwenye forum nyingi.Nilimkuta political forum ya US kwa jina la Lin***n na jinsi alivyokua akichangia sikujua kama ni mbongo hadi nilipojichanganya na yeye kuingia mtegoni.Hata ghananation ya ghana yeye ni member kwa jina la....

Lol...hata www.ghanaweb.com yupo.
 
namshauri ritz aende akainvest usa apeleke hizo mbegu kwa kuwa yeye ni invester wa nguvu watampokea
 
Ben kesha-hint utetezi wa kwamba hata huko anaweza kuwa mwanachama pia.
Nyani Ngabu , Lugha ninayoongea niya ki-Bariadi Bariadi, sisi hatubahatishi pamoja na kwamba tuna sifa moja ya ubishi.

Kwa hiyo anataka kusema katika hizo Forum ana majina mbali mbali hata katika forum moja.

Bora tu akakaa kimya kuliko kuanza kuleta utetezi wa kitoto kitoto kama walivyo wanasiasa uchwara wengi wa Tanzania.

Sibahatishi.
 
Last edited by a moderator:
Well done Mdee, hao jamaa ni kimeo hata ukijaribu ku-google unapata ufisadi wao, pamoja na kukuwa kwa kasi TEKHOMA hivi rais wetu ataendelea kudanganywa mpaka lini?

Viongozi Imara eti Wako CCM... Hivi kauli yao mbona inawasuta kuwa wao Ni DHAIFU KIFIKRA...
 
Mkuu , Nyani Ngabu , Nafikiri utakuwa unayasoma haya maelezo ukiwa kichwani mwako na ule usemi maarufu wa Mwl. Nyerere aliposema "Mtu mwenye akili akijua kuwa na wewe una akili akikuambia jambo la kipumbavu na wewe ukalikubali, huyo mtu atakudharau sana."

Je, jiulize huyu anayekuambia kwamba Ben Saanane ame hint kwamba huyu jamaa (Ben Saanane) yuko hata kwenye forum za ghana ni nani. Na kwa nini Ben Saanane amweleze yeye wakati aliyeleta hii issue ya plagiarise ni mwingine.

Unafahamu kuna watu hapa JF wanatufanya kama sisi ni wajinga.
 
Last edited by a moderator:
Hoja hoja tu kwani ukiongea ujinga kwa maneno ya busara ujinga huo unageuka busara ndo matumizi ya lugha hayo. Ya selukamba
 
Choo cha kike kwa tafsiri ya Mh Rais kama mwanaume kaenda wrong direction...Not Hii mbaya sana
 
halima mdee ana hoja nzuri lakini lugha ya kihuni anayotumia inafanya hoja yake idharaulike

hakuna aliyedharau hoja labda wewe, hii huitwa lugha ya picha kumfanya msomaji kupata uelewa halisi lakini haimfanyi rais aingie choo cha kike
 
kweli bana hawa wabunge wanatumia mno lugha isiyo na staha, jamani sio utamadunni wetu kukosa staha kwa watu na hasa walikuzidi umri. Halima unaongea na watanzania wote, including your parrents! what my kids can learn from you Dada! CDM tunakosea sana na chama kinapaswa kuwajibikika hapa, sasa tofauti yako na Lusinde nini nini! haaaaaaaa! this is pathetic!
 
Ben kesha-hint utetezi wa kwamba hata huko anaweza kuwa mwanachama pia.
Duh, Kwa hiyo Ben Saanane ni member katika makumi ya forum na pia mwandishi wa article za habari mbali mbali hapa duniani,
Kwa hiyo na hapa ni member alipoandika hivi, kwenye thread hii,
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-karibu-na-ludovick-joseph-2.html#post6113149

By OKW BOBAN SUNZU
They hate you coz you feed them the truth
Let them hate provided they respect my principles and conduct.....

Let them hate Ben Saanane so long as they won't dare to bribe him...

This is when a character tries to bribe somebody, but the bribe is either pathetically small or involves something of no conceivable value to Ben. My Common reactions will include an incredulous stare, dismissive laughter, or even even arresting the for attempt bribery.

Watch this space OKW BOBAN SUNZU,for ain't a vampire,sinywi damu za watu!
Wakati haya maneno yanatoka hapa,
This is when a character tries to bribe somebody, but the bribe is either pathetically small or involves something of no conceivable value to the recipient. Common reactions include an incredulous stare, dismissive laughter, or even arresting them for attempted bribery. Alternatively, the recipient may enthusiastically accept the bribe, much to the amusement of the audience. (A once-common form of this variant involved Canadians being bribed in American currency, although economics can largely ruin any humor it holds.)
Haya maneno yanatoka hapa,
Comically Small Bribe - Television Tropes & Idioms

Hata hapa pia ni yeye, kumbe Ben Saanane ni mwandishi wa habari za Nigeria!! Soma hapa pia,
Nobody will help Africa, nobody can help Africa and that is the truth. If we expect others from outside to come and help us, it is a second class help

What do I see for the future? We have caliber of women, men, young and old that Africa needs to put itself up and to make its voice heard in the world today and tomorrow.

Until Tanzania and Tanzanians choose and elect their leaders wisely,bad leasership would abound.
Its our collective responsibility to vote-in credible and honest men come 2015 irrespective of tribal,religious and political affinity.The onus is on us the electorates
Hizi phrase zinatoka kwenye hii thread,
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...st-african-community-is-over.html#post6104753

Lakini hizi phrase zimepakuliwa kutoka hapa,

“It’s to try and prepare African youths, boys and girls, together that future belongs to you youths.

“Nobody will help Africa, nobody can help Africa and that is the truth. If we expect others from outside to come and help us, it is a second class help.

“What do I see for the future? We have caliber of women, men, young and old that Africa needs to put itself up and to make its voice heard in the world today and tomorrow.
Hizo phrase zinatoka kwenye article hii hapa,

Nigeria lacks good leaders – OBJ

It goes on and on kama ukifuatilia mabandiko yake ya kiingereza.
Huyu Ben Saanane ni plagiarizer mzuri kweli kweli kwa wajinga fulani hapa JF lakini tunajaribu kuwa kimya ili mwanaharamu apite. Tatizo mwanaharamu akipita anaanza kurusha maneno ya kejeri.
 
Last edited by a moderator:
kweli bana hawa wabunge wanatumia mno lugha isiyo na staha, jamani sio utamadunni wetu kukosa staha kwa watu na hasa walikuzidi umri. Halima unaongea na watanzania wote, including your parrents! what my kids can learn from you Dada! CDM tunakosea sana na chama kinapaswa kuwajibikika hapa, sasa tofauti yako na Lusinde nini nini! haaaaaaaa! this is pathetic!

Mabinti wanapata mimba kwa vihelehele vyao.
 
Back
Top Bottom