Alitakiwa aseme: Rais ameingizwa kwenye choo cha Mdee! Unaondoa tu kike unaweka jina lake.Wewe ulitaka asemeje?
Nashukuru Mkuu,
Kwa hiyo na hayo mazao unayozalisha wewe ni sharti wanunue wao tu?
halima mdee ana hoja nzuri lakini lugha ya kihuni anayotumia inafanya hoja yake idharaulike
Alishawahii ingizwa choo cha kiume?
lugha ya Halima huwezi fananisha na ya Serukamba,hata kama ukweli mchungu tuupokeeni tu kwani ndiyo hali halisi
Choo cha kike?cha mdee au? je Mdee mbona bado yukokwenye hicho choo au kaenda cha kiume? kudadadeki wabunge nyie naona mmezama kweli na lugha zenu hizi..... haya bana yetu macho, itafika tu wkt wa kutoa muarobaini na kama hamjui basi nawaambia utakuwa ni mchungu sana!!
Angetumia" His Exellency The Head of The State"....Lugha aliyotumia mdee siyo nzuri
Kwani bungeni wanatakiwa kutoa reference ya wanachokisema? labda angeambiwa alete ushahidi ndiyo angesema ameitoa jamiiforum!Ungempa Credit kwanza ,atleast amewasemea wakulima na watanzania halafu ungemstua kuwa angetoa reference alikoipata.Kumlaumu moja kwa moja haujamtendea haki.Kwani kuna walioiona lakini hawakuifanyia kazi.