Mdee: Rais ameingizwa 'choo cha kike'

Choo cha kike Maana yake, Kufanya Jambo la kijinga sana, kama kuingia Choo cha kike wakati umeandikiwa na kuchorewa Picha ina kuonyesha, Sehemu ya Wanawake na sehemu ya Wanaume.

choo.jpg
 

Attachments

  • choo 2.jpg
    choo 2.jpg
    8.8 KB · Views: 82
Hata cheque ukuata inasomeka milioni tharasini na tano lakini katika figa wameweka TZS 35000/-Na anapiga makofi kwakushangilia na anazindua mradi!
 
Halima Mdee kaja humu JF akakuta thread hii inayozungumzia MONSANTO na sera ya kilimo Tanzania:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kwanza-imeandikwa-kwa-msaada-wa-monsanto.html

Katika mazingira ya kawaida kama msomi ungetegemea kuwa mbunge huyu wa Kawe angeweza ku acknowledge na kutoa reference ya Jamii Forums, lakini akaamua kuja na kauli bila kuipa JF credits kwa kuibua hiii issue. Soma kauli ya Halima Mdee hapa:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/439000-mdee-rais-ameingizwa-choo-cha-kike.html

Halima Kama member wa JF na Mbunge ameona ubaya gani kuipa JF credit where its due juu ya hili suala?

Tumuelewe vipi halima?
 
Raisi wangu chonde chonde nakushauri uache udalali wa kupigia upatu biashara ya wazungu kutulisha sumu na chemical zao kwa ajili ya manufaa yao.Katika nchi yetu kubwa yenye nguvu ya <75% ni wakulima mashambani na ardhi ya kutosha zaidi ya hekta <4.million za ardhi kuna haja gani ya kurasimisha sumu.?
Wataalamu wa kilimo na ufugaji mpeni ushauri raisi wetu japo wakati mwingine mbishi na mbinafsi gharama na hasara ya mazao ya GMO ni kubwa kuliko faida yake kwa kpindi kirefu kwa uchumi na afya za taifa letu.Wazungu nia yao ni kushika na kucontrol uchumi katika sekta ya kuuza mbegu,mbolea vitu ambavyo mkulima wa kawaida hataweza kupata kwa wakati mwafaka.Jamani GMO itatupotezea mchele wetu wa kienyeji super wa Kyela,kilombero,kahama,chato,Musoma na shemu nyingi walizoea vyakula vya asili.
Raisi Kikwete siyo kweli kuwa njaa katika nchi maskini itaondolewa na GMO kama ambavyo wabinfsi wachache wanakudanya na kushauri. Muhimu katika nchi yetu hii ni kuwekeza kikamilifu na kuunganisha program na miradi mbalimbali ya kilimo kulingana na mazingira ya mkoa au Wilaya.
 
Ungempa Credit kwanza ,atleast amewasemea wakulima na watanzania halafu ungemstua kuwa angetoa reference alikoipata.Kumlaumu moja kwa moja haujamtendea haki.Kwani kuna walioiona lakini hawakuifanyia kazi.
 
Choo cha kike?cha mdee au? je Mdee mbona bado yukokwenye hicho choo au kaenda cha kiume? kudadadeki wabunge nyie naona mmezama kweli na lugha zenu hizi..... haya bana yetu macho, itafika tu wkt wa kutoa muarobaini na kama hamjui basi nawaambia utakuwa ni mchungu sana!!

Huyo asiye jua kuwa muarobaini mchungu ni nani? na je mtakuwa tayari kuunywa? yangojeeni mnayoyatarajia kama yatatoke maana aibu mtakayo kuwa mnaipokea kwenye majimbo itakuwa ni pigo kubwa sana kwenu vilaza kama wewe mnaotumia makalio kufikili, kwa akili zako ndogo unadhani watanzania wa leo ndio wale wa 2005? subiri utayapata majibu 20015 mbulula we....
 
Umejuaje kama kaitoa hapo na sio huko alipoipata huyo aliyoileta hapa ?, au umejuaje kama kapewa na mtu aliyoitoa hapo ?

Tuache kulalamikia vitu minor.., dakika kumi (sometimes tano kwa wabunge wa upinzani) ni ndogo sana kuongelea issue let alone kuanza kupeana Shout Out....
 
Ungempa Credit kwanza ,atleast amewasemea wakulima na watanzania halafu ungemstua kuwa angetoa reference alikoipata.Kumlaumu moja kwa moja haujamtendea haki.Kwani kuna walioiona lakini hawakuifanyia kazi.
Kwani bungeni wanatakiwa kutoa reference ya wanachokisema? labda angeambiwa alete ushahidi ndiyo angesema ameitoa jamiiforum!
 
Maganga wa Kienyeji awali sikuwa najua kwanini umeandika Halima Mdee VS Jamiiforums niliposoma nikaona mantiki ya Monsanto ni mbaya kabisa kwa jamii yetu hapa nchini nikajiuliza kwanini awe VS Jamiiforums ni kweli ameenda kinyume na maadili ya JF kaleta style za Bungeni hapa JF za kutukana tukana. Tumsamehe yawezekana ana jazba kutokana na upendeleo wa Spika kwa wana CCM
 
Back
Top Bottom