Mdee: Rais ameingizwa 'choo cha kike'

Duh!

Ben wa Saa Nane itabidi ajieleze hapa.
Hawezi kuja na verified name kujieleza labda kama anataka kuvaa taulo la aibu zaidi. Kama exposure ya India imemsaidia, basi anaweza akauvaa uungwana na kuomba msamaha kwa jambo hili na watu wakalisahau. Lakini kama atataka kuwa kama wanasiasa uchwara wa Tanzania, basi inambidi atafute siraha nyingine ya utetezi lakini siyo hii ya kusema eti ni active member kwenye foreign forum. My foot.
 
halima mdee ana hoja nzuri lakini lugha ya kihuni anayotumia inafanya hoja yake idharaulike

Hiyo ndiyo lugha inayo wafaa ccm. Umesahau kejeli zao? Hata JK mwenyewe ana kejeli sana tu!!
 
Choo cha kike? Kauli hii ingetamkwa na mbunge wa CCM pangechimbika hapa JF.
 
haya madudud sijui yataisha lini?!!
kuna siku nilipewa lift na mtaalamu mmoja wa kilimo alikuwa analalamika na hasa akimlalamikia waziri mkuu kwa kuhamasisha matumizi ya mbolea za viwandani na uzalishaji wa mbegu kisayansi kwa kweli inauma lakini mtaalamu huyu hana jukwaa la kusemea.
inauma kwa kuwa na viongozi wazembe wasiowashirikisha wataalamu katika maamuzi yao na mbaya zaidi wataalum wanaousishwa wamechoka au wabinafsi wanachoangalia ni rushwa yao tu ndo madhara yake
 
Mkuu Mbona inajulikana kwamba kikwete ni janga la TAIFA,Tangu nchi hii ipate uhuru sijawahi kuona Rais mzembe wa kusoma na kufatilia mambo kama huyu!
 
Romario alikuwa anaweka picha ya Edmundo kwenye mlango wa choo cha baa yake huko Rio
 
Kama Kuna laana kubwa kuliko zote ambazo Mungu amewahi kuipiga tz ni kutupa FastJet na uongozi wake pamoja na CCM yake
 
Tatizo kilimo chetu kinaendeshwa kisiasa wataalamu wa kilimo wanawekwa pembeni haiwezekani vyombo vyote visijue madhara ya hiyo kampuni hizo ni 10%
 

Mkuu, nakubaliana na wewe. Ulichoandika na kweli.
Hoja ama maelezo ya Mhe Halima Mdee yana maana sana unapozungumzia muskabali wa afya za watanzania na makampuni ya mbegu ya wazawa.
 
PEOPLE VOICE, IS THE VOICE OF GOD. Nadhani Wahusika wamesikia. Hata kama Machizi, lakini Huu ni ujumbe makini kwao, So inajua Idadi kubwa ya Wazungu ni Mashoga, kwa hiyo kutumia GM products ni sawa na Ndoa ya Mashoga, Yaani hakuta kua na watoto, labda watoto wa kuasili.
 
kikwete ana hulka ya kike sishangai kuingizwa kwenye choo cha kina mama, ahsante mdee kwa kulisema hili politely.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…