Maji ni maji, na mafuta ni mafuta.
Cuf hatimaye ime dhihrika ni partner wa CCM na ni maadui wa CDM.
CUF c chama cha upinzani.
Issinge ingilia akilini kama wangekuwemo kwenye kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Mimi, sasa kuliko muda mwingine wowote, naamini kabisa na pengine wananchi wengi wana amini hivyo kwamba:
1. Viongozi wa CUF wamehongwa madaraka,
2. CUF sasa si mpinzani
3. Wanasiasa si wa wakuwa amini kabisa kwani hapo nyuma kidogo tu, cuf ilikuwa kama cdm leo.
Wana siasa ni lazima wawepo?
Nimepotea jamani ebu mwingine aendeleze, nime data.