Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

Marando: Chama lazima kiwe na msimamo na kulinda maadili. Kiongozi wa chama anapojifanyia maamuzi yake pasipo kuwasiliana na chama hafai...inasikitisha kwamba baada ya kuwafukuza (madiwani wa Arusha) sasa hivi wanakumbatiwa na CCM inaonyesha ni nani aliwatuma awali
 
Marando anajibu kutimua madiwani ni kulinda sera za cdm
 
Marando: Kama kura itapigwa vizuri, na tunaamini itapigwa vizuri mwaka 2015, CCM itaondoka madarakani
 
kuna mdada kauliza swali la kuhusu dr.slaa na ukiristo,sijui ndio FaizaFox!ana bonge la hijabu.
 
Marando:
swal:utendaj wa viongoz unategemea utash wa mtu bnafs au n chama?
Jibu: chadema imejpambanua kwa maneno na vitendo.
 
Marando: CDM kimejidhihirisha kwa vitendo kwamba kinaweza kusimamia maamuzi yake...wizi umetokea benki kuu na ushahidi uko wazi (maana wamekiri wenyewe) wanaambiwa warudishe fedha (Rais amewasamehe)
 
Swali kwa Nape: Ujamaa wa enzi hizo, mashamba yalikuwa yanataifishwa na kuwa mali ya wananchi. "Ujamaa" wa leo, mashamba ya umma yanauzwa kwa mapebari. Ni ujamaa upi unaouzungumzia wewe?
 
Marando kasema mambo mazuri ambayo niyakitaifa.Jamaa kaponda wabunge wa CHADEMA.Duh Nape analo ardhi na elimu issue.Nape hajui ata AZIMIO LA ARUSHA LIMEANZA LINI NA UJAMAA UMEANZA LINI?
 
Swali kwa Jussa: Unasema CCM imechoka na inaelekea shimoni kufa (ni ya kuondolewa madarakani), leo mmeungana nayo. Huu si unafiki?
 
Nape anaulizwa ni ujamaa gani ccm inaouzungtmzia wakati viongozi wote wa ccm wanasomesha watoto wao shule nzuri na c shule za kata'? Kaulizwa je tanzania ni masikini au tajiri? Anaulizwa inakuwaje wanadai wana siasa za ujamaa na kujitegemea kuna tofauti kuawa kati ya matajiri na masikini?
 
Swal kwa Jussa:
kama unasema CCM kimechoka na kinahitaj kupumzishwa, inakuaje Zanzbar mshrkiane nao?
Swal kwa Nape:
2005 viongoz wa kkrsto walisema jakaya n chaguo la Mungu, ccm hawakusema kuwa kuna udin. Lakn last year wametangaza udin kwa dr. SLAA.
 
Swali kwa Nape: Ujamaa wa enzi hizo, mashamba yalikuwa yanataifishwa na kuwa mali ya wananchi. "Ujamaa" wa leo, mashamba ya umma yanauzwa kwa mapebari. Ni ujamaa upi unaouzungumzia wewe?
Sijui kama atalijibu labda kwa kutumia falsafa ya propaganda, argumentum ad propaganda
 
Marando anasema spika ndo anauwezo wa kumtangaza mbunge aliwasalite wenzie juu ya uchukuaji wa posho. Anasema hakuna mbunge wa chadema anayechukua posh6 zaidi ya shiauda.
 
Kuna Mbunge vit maalum cdm kutok temeke anapata posho za ubunge na za udiwani.
Marando na political recycling, anasema yy hajawah kuwa ktk ccm even hata ktk Tanu youth, amehama mara moja tu. Ameamua kuwafata wanamageuz wenzake cdm
 
Back
Top Bottom