Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

Swal la udini limeenda kwa mh. Marando.
 
Swal kwa Nape, kuna viongozi walienda Zanzibar wakalivunja Azimio la Arusha. Inakuaje bado itkad ya Ccm n ujamaa na kutegemea.
 
Jamaa kauliza maswali ma3 kwajumla
Nape kahaza kujibu maswali
 
Nape: Azimio la Arusha lilikuwa mkakati wa kutekeleza Ujamaa na Kujitegemea, mazingira ya sasa yamebadilika. Nadhani anamaanisha halitekelezeki
 
Wakuu
Ni iman yangu kuwa kuna wanajamvi huko kwenye Mdahalo, kama hvyo ndivyo naomba muwasilishe "kuhusu ya mali zilizopatikana kwa JASHO la watanzania wote kabla ya mfumo wa vyama vingi" na kupokwa na CCM baada ya mfumo wa vyama vingi". Msimamo wa CCM ni upi juu ya hilo jambo la kujimilikisha mali za UMMA.
 
Huyu kijana Nape ana stori nyingi analambalamba swali halijibu moja kwa moja
 
NAPE:
Azmio la Arusha sio Itikad ya Ujamaa na Kutegemea bal ni mmojawapo ya mikakati ya kutekeleza ujamaa. Zanzbar hawakwenda kuvunja Azmio la Arusha bal kuboresha il yaendane na muda na mahtaj (update), anadai huwa wanafanya enterval of 10 yrs. Anamfanisha kikwete kama muuza duka wao ndio wenye duka thats why chama kipo karb na serikal.
 
Kumfukuza shibuda hapo nape anataka acheze na mind za chadema2 kachemsha!
 
Karudishwa kwenye mada kwa kuulizwa swali: Kinachoendelea ndio mkakati wa kutekeleza Ujamaa na Kujitegemea?
 
<br />
<br />
Kama muda ni kuanxia saa Saba usiku mpaka saa Tisa usiku, lazima watakaojaa kimahudhurio ni Walinzi wa usiku a.k.a Kolokoloni na Waanga. Msalimieni Shehe Yahaya mnaweza kuwa nae muda huo
Jamani mbavu zanguuuu!
 
Huyu wa zanzibar ANAMponda nape kuwa ccm haijielewi iliko wala inachnkifanya ccm inajiita ina si
 
Jussa: Huwezi kuzungumzia Ujamaa wa Mwalimu Nyerere wakati asilimia 60 ya bajeti mnategemea wafadhali. Huwezi kuwa Mjamaa wakati njia kuu za Uchumi zinamilikiwa na watu/makampuni binafsi. Anasema CCM kimechoka ndio maana hata hawajui wanasimamia nini. Kinatekeleza siasa za kuchanganyikiwa/frastrations
 
Back
Top Bottom