<br /><br /><br />
<br /><br />
Acha mambo ya ajabu weka masabuni yako vizuri na uangalie majibu ya kiumeni toka kwa Marando anajenga hoja vizuri sana
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mpe masabuni yako atazame aliye shindwa na ka chama chake ka CCR
<br />Mdahahalo wa itikadi za kisiasa leo kuanzia sa moja usiku statv kati ya Nauya CCM,Mabere CHADEMA,Ismail CUF,'kama NGELEJA ataruhusu'
<br />Mie sio mshabiki wa chama chochote, ninavyoona Jusa anajitahidi kuliko wenzake.