Duh! ama kweli wewe ni mpenzi wa Freemen Mbowe.kwa sababu ni ntu wa kwanza nakusikia una uthubutu wa kusema hayo wakati watu wote tulioangalia mdahalo tuliona umakini wa Hamad, pamoja na moderator kutoficha ushabiki wake wa kijinga kwa chadema na kuonyesha ni jinsi gani hafai kuwa moderator na ni mradi wake tu wa kutafuna hela za donors ili agange njaa,elimu ya Mbowe ni ndogo sana na ilijionyesha alivokuwa na jazba na kushindwa kujibu au kupanga hoja didhi ya Hamad, nawashauri mpelekeni Mbowe akasome kwa sababu form six yake ya Ihungo ndio cheti halali alicho nacho hayo mengine hajawahi hata kuka darasani miezi sita!!!! atapiga disco saa ngapi,na mambo mengine kadha wa kadha>>>>?ndiyo arudi kupambana na wasomi wazoefu kama Hamad, kwetu CUF tunasema angalao Dr.Slaa anaweza akafanya mdahalo na Hamad kikaeleweka., na hii forum ikiendelea kuegemea kwenye u chadema tutaiponda sio muda mrefu ujao, itabaki kuwa ubao wa matangazo wa chadema