Mdahalo kati ya Freeman Mbowe na Hamad Rashid ITV

Mdahalo kati ya Freeman Mbowe na Hamad Rashid ITV

CUF, CHADEMA vyote vyama vya kidini. CHADEMA cha wakristo na CUF cha waislam kwaisha kwa hiyo msituambie kuwa eti nyie mnataka maslahi ya KITAIFA mnataka maslah ya kanisa tumeona ARUSHA, IRINGA. kuna ma padri wamegombea chadema umesikia kuna sheikh amegombea CUF? ila vyote vya kidini. Sizuge watanzania

Padri ni Nani ?, SLaa aliwahi kuwa padri lakini alivua hiyo nadhiri na kuwa muumini wa kawaida

Wale wachungaji uliona wamegombea wamekombani Elimu dunia na ahera wakati mashehe wengi kama sio wote wanabobea upanda mmoja ? labda ndo maana hawajitokezi kugombea

CDM inao wabunge waislamu kama vile Arfi wa Sumbawanga Mjini , Z kabwe wa Kighoma

je CUF je , mbunge mkristo yu wapi ?
 
Kanuni za Bunge zinataka chama kinachounda upnzani rasmi Bungeni sharti kiwe alau 12.5% ya wabunge wote, katika bunge lililopita CUF ilikuwa na wabunge 32 wakati wabunge wa bunge zima walikuwa 323 ambayo ni chini ya 10% CUF ingewezaje kuunda upinzani rasmi bila kuungana na wengine kwa kanuni hiyo? tuandike vitu tulonauhakika navyo bila ushabiki
 
Hamad haelewi kabisa anachokitaka. Umoja huwepo kutokana na mambo mnayoyaamini siyo eti alimradi muwe wengi. Sasa hivi tayari kuna serikali ya CCM-CUF (Zanzibar), bado anataka tena CUF iwepo kwenye upinzani! Huyu anafikiri sawa sawa? Anataka CCM & CUF serikali na CHADEMA & CUF upinzani, itawezekana vipi?

CHADEMA msifanye kosa hilo kubwa la kutaka kuisogeza CUF katika kambi yenu. CUF na CCM sasa wapo pamoja katika kuongoza serikali, atawezaje kuwa mpinzani wa yeye mwenyewe?

Ukishachukuliwa na CCM nadhani na fikra zinaharibika. Mbona siku za huko nyuma huyu Hamad alikuwa anaonekana kama ni mtu mwenye uelewa? Ameharibiwa na nini sasa hivi hata kushindwa kuelewa vitu vinavyohitaji akili kidogo sana?
 
Loo huyu Hamad is a puppet wa CCM kwa nini anapewa umaarufu wa bure?? Let him stay aside sisi tuendelee na mapinduzi yetu. CUF wanajulikana wanakoelekea. Lilikuwa kosa kubwa Mbowe kukubali mjadili huuu
 
CUF bara mnatakiwa muwe na msimamo maana sasa hivi CUF Pemba inaonekana kama ndiyo wenye maamuzi ya mwisho. Msipoangalia ninyi mlio maelefu kwa maelfu mtakuwa mnaburuzwa na wabunge wanaowakilisha makumi ya watu huko Pemba. CUF imefanikiwa kupigania makumi ya watu huko Pemba, CUF bara msimamie mambo wanayoyataka maelfu ya wana CUF wa bara.

Wabunge wenu wawili wa CUF bara wanawakilisha idadi kubwa ya watu kuzidi idadi watu wanaowakilishwa na wabunge zaidi ya 20 wa Pemba wakiwekwa pamoja. Msigandamize haki za wabara kwa maelfu kwa kufuata wawakilisha wa makumi ya watu eti tu kwa vile wabunge wao ni wengi. CUF Pemba imepata ilichokuwa inataka. CUF bara na ninyi mmekwishayafikia malengo yenu?
 
Hamad Rashid alisema Mbowe acha kuchezea mwanasiasa mkongwe...... nilijiuliza sana nikajuta kuangalia mdahalo ule lakini nikajipa moyo kuwa nisipo angalia mpaka mwisho sitaelewa upinzani umekaaje nanani tumtegemee kwaajili ya ukombozi wataifa hili ambalo limetawaliwa nakunyang'anywa keki yote ya uhuru nakikundi kidogo ambacho watuwake hawafiki hata milioni moja.Mbowe maana yake CDM Hamad maanayake CUF wote hawa wamezaliwa mwaka 1992 nawakaingia rasmi katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mwaka 1995 sasa nani mkongwe kuliko mwenzie hapa....Play a devil advocate,kumbe HR alisimama na kofia mbili kwenye mdahalo ule yaani CCM na CUF maana CCM ndio mkongwe pekee kati yao.

Nika msikia tena HR akisema kama kuna kanuni inayo ruhusu kutimua basi watimuliwe akimaanisha wabunge wa CDM watimuliwe bungeni nilitikisa kichwa nusu shingo inyofoke maana sikuamini kabisa kama HR anamaanisha watanzania wenzetu waliochagua wabunge wa CDM wakose uwakilishi bungeni........ idiot,hapo nikaona kumbe yeye ni nguruwe sio mtu mwingine kama alivyo sema yeye.Hivi HR mmeenda bungeni kufanyanini? na ninani alio wapeleka huko ?

Sasa hao wengine walio kubali kuungana na CUF kuunda kambi ndogo ya upinzani kuwakilisha minority kwa maelezo ya HR wana wakilisha kitugani na kwa mslahi yanani au ndio kutafuta posho? CDM wata fanya kazi na vyama vya namnahii? hakika CDM credibility Tuliyo nayo haiwezi kupotea kirahisi namna hii eti kuungana na nguruwe ili kambi ya upinzani iwe na nguvu.Sipati picha ninguvu gani tunayo zungumzia baada ya kuungana na nguruwe......

CDM mkijaribu hata kufikiria kuungana na chama kingine cha upinzani bungeni that will be surrender and not compliance, please CDM concentrate on co. issues, you are the only strong and trusted opp party pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Binafsi nilikuwa simjua vizuri Mh. Hamad Rashid zaidi ya kumsikia juu juu tu kwenye vyombo vya habari. Lakini baada ya kuangalia mdahalo wa ITV kati yake na M. Mbowe nimegundua kuwa Mh Hamad Rashid ni mtu:-

1. Anapenda kutoa sentensi za vitisho. (ana u-dikteta).

Hapo nahisi au siku ile alikuwa hajuia/hana uhakika na anachoongea alitaka tukubaliane naye tu, au alikuwa anapindisha ukweli kwa maslahi binafsi, au hizo sentensi zinatokana na shinikizo flani alilopewa. mfano alirudia rudia "let be seriouse on this"

2. Haijui vizuri katiba ya JMT na kanuni za bunge

Alikaa bungeni zaid ya miaka 15 na alishashika madaraka mbali mbali serikalini. lakini haijui vizuri katiba ya nnchi na kanuni za bunge, kiasi cha kushindwa kujua kutoka bungeni kwa wabunge wa CHADEMA sio kuvunja katiba wala kanuni yoyote ya bunge.

3. Anapenda madaraka.

Yupo tayari kufanya lolote apate madaraka mfano, walifanya malidhiano serikali ya Mh. Mkapa (bila kuwashirikisha wananchi)akateuliwa mbunge, kwa malidhiano hayao hayo w wanataka kuingiza kwenye katiba ya muungano cheo cha Makamu wa Rais wa ZNZ atambuliwe kikatiba (bila kushirikisha wananchi) na Sasa zaid, anataka kuingiza kwenye kanuni za bunge atambulike kama kiongozi wa upinzani mdogo bungeni (Ili aendelee kupata mil 100 na malupulupu mengine).

4. Ana element flani za udini.
Mara ninyi alikuwa akitumia mifano ya udini kujengea hoja. mfano ule wa ndesa, aliungiza hata palipokuwa hapastahili ili tu afikishe ujumbe.

5. Anamchukia Mh. Mbowe kama Mbowe kuliko CHADEMA na upinzani
Sijui kwa sababu amechukua kiti chake au la!
kwa maana, Alioneka mara nyingi akitoa mifano ya kushirikiano na Dr. Slaa ,Ndesa n.k hii ina maana ya kujisafisha juu kutokuwa na mahusiano mazuri na CHADEMA.

6. Anajivunia uzanzibar kuliko utanzania. (ni mmbaguzi)

Kauli zake zinadhihilisha kilcho moyoni mwake.

7. Mpenda sifa za kijinga

Mfano, alisifia mara nyingi kufa kwa watu 45 kwenye kudai katiba ambayo sasa wamengia tkt serikali ya mseto bila kushikisha mwazo ya wananchi hao hao waliomwaga damu, badala yake waliwashirikisha kupiga kura ya serikali ya maseto tu. Hamna hata hatua za kushinikza waliomwaga damu zao wachukuliwe zilizochukuliwa, sijui ndo inawasaidia nini wahenga wao waliadhilika na umwagaji damu, au usaliti!

8. Ana ubinafsi (Anajijali yeye kuliko chama chake/watu wake).

Alikuwa akijisifia yeye kama yeye zaidi ya chama chake na watu wake.

9. Ni kigeu geu / Hana msimamo

Amekuwa akitoa kauli zinazopingana. Kwanza alishasema kwamba Mh.Mbowe hakumualika kuunda kambi ya upinzani, the akasema aliambiwa akakataa kutoka na tofauti za kimisimamo. Hata alipoulizwa aseme ipi ni kauli sahihi aliruka kwa ukali ule ule kwamba "mimi nipo very seriose na kauli zangu". Sijui swali hakuliewa ? alitumia ukali kuficha udhaifu au ndo udikteta?

10. Ana dalili za kifisadi.

Msimamo wake unaonyesha kuegemea upande wenye mslahi binafsi zaidi kuliko maslahi ya Taifa
 
CUF ni walafi tu hawapo kwa maslahi ya wananchi hasa watanzania bara. Kumbuka baada ya maalim Seif kurudishiwa marupurupu aliyokuwa akipata kama waziri kiongozi mstaafu akajenga urafiki na CCM. Pale Dodoma aliwashambulia CHADEMA kwa kususia hotuba ya JK, alipoulizwa mbona yeye na chama chake hawakuitambua serikali ya zanzibar kwa miaka 15? Hakuwa na la kusema. Keshakuwa sehemu ya wakandamizaji, hakumbuki machungu ya kukandamizwa.
CUF ni CCM B. CHADEMA ndicho chama pekee kinachopigania wanyonge.
 
Binafsi nilikuwa simjua vizuri Mh. Hamad Rashid zaidi ya kumsikia juu juu tu kwenye vyombo vya habari. Lakini baada ya kuangalia mdahalo wa ITV kati yake na M. Mbowe nimegundua kuwa Mh Hamad Rashid ni mtu:-

1. Anapenda kutoa sentensi za vitisho. (ana u-dikteta).

Hapo nahisi au siku ile alikuwa hajuia/hana uhakika na anachoongea alitaka tukubaliane naye tu, au alikuwa anapindisha ukweli kwa maslahi binafsi, au hizo sentensi zinatokana na shinikizo flani alilopewa. mfano alirudia rudia "let be seriouse on this"

2. Haijui vizuri katiba ya JMT na kanuni za bunge

Alikaa bungeni zaid ya miaka 15 na alishashika madaraka mbali mbali serikalini. lakini haijui vizuri katiba ya nnchi na kanuni za bunge, kiasi cha kushindwa kujua kutoka bungeni kwa wabunge wa CHADEMA sio kuvunja katiba wala kanuni yoyote ya bunge.

3. Anapenda madaraka.

Yupo tayari kufanya lolote apate madaraka mfano, walifanya malidhiano serikali ya Mh. Mkapa (bila kuwashirikisha wananchi)akateuliwa mbunge, kwa malidhiano hayao hayo w wanataka kuingiza kwenye katiba ya muungano cheo cha Makamu wa Rais wa ZNZ atambuliwe kikatiba (bila kushirikisha wananchi) na Sasa zaid, anataka kuingiza kwenye kanuni za bunge atambulike kama kiongozi wa upinzani mdogo bungeni (Ili aendelee kupata mil 100 na malupulupu mengine).

4. Ana element flani za udini.
Mara ninyi alikuwa akitumia mifano ya udini kujengea hoja. mfano ule wa ndesa, aliungiza hata palipokuwa hapastahili ili tu afikishe ujumbe.

5. Anamchukia Mh. Mbowe kama Mbowe kuliko CHADEMA na upinzani
Sijui kwa sababu amechukua kiti chake au la!
kwa maana, Alioneka mara nyingi akitoa mifano ya kushirikiano na Dr. Slaa ,Ndesa n.k hii ina maana ya kujisafisha juu kutokuwa na mahusiano mazuri na CHADEMA.

6. Anajivunia uzanzibar kuliko utanzania. (ni mmbaguzi)

Kauli zake zinadhihilisha kilcho moyoni mwake.

7. Mpenda sifa za kijinga

Mfano, alisifia mara nyingi kufa kwa watu 45 kwenye kudai katiba ambayo sasa wamengia tkt serikali ya mseto bila kushikisha mwazo ya wananchi hao hao waliomwaga damu, badala yake waliwashirikisha kupiga kura ya serikali ya maseto tu. Hamna hata hatua za kushinikza waliomwaga damu zao wachukuliwe zilizochukuliwa, sijui ndo inawasaidia nini wahenga wao waliadhilika na umwagaji damu, au usaliti!

8. Ana ubinafsi (Anajijali yeye kuliko chama chake/watu wake).

Alikuwa akijisifia yeye kama yeye zaidi ya chama chake na watu wake.

9. Ni kigeu geu / Hana msimamo

Amekuwa akitoa kauli zinazopingana. Kwanza alishasema kwamba Mh.Mbowe hakumualika kuunda kambi ya upinzani, the akasema aliambiwa akakataa kutoka na tofauti za kimisimamo. Hata alipoulizwa aseme ipi ni kauli sahihi aliruka kwa ukali ule ule kwamba "mimi nipo very seriose na kauli zangu". Sijui swali hakuliewa ? alitumia ukali kuficha udhaifu au ndo udikteta?

10. Ana dalili za kifisadi.

Msimamo wake unaonyesha kuegemea upande wenye mslahi binafsi zaidi kuliko maslahi ya Taifa

MHH napata wasiwasi na maelezo yako kwa sababu nami nilitazama mdahalo huo ila naona umepitiliza kwa hoja, binafsi naheshimu sana kwa uwezo wake wa kusimamia mambo japo mimi sio mwana kafu wala ccm, ila si mwenye kupenda madaraka kama ulivyosema maana unaweza tazama historia yake mpaka hapo alifika angetaka madaraka angekubali kuwa kibaraka wa serikali ya ZNZ wakati huo na angekuwa na cheo tu mpaka sasa, usisahau alikuwa kijana wa mwl nyerere huyu
 
Hivi sio hama chenye chembechembezi za udini wa MS? na wabungez wake I think they are +95% Malaria Sugu's? Now they have been given ceremonial position in SMZ they think they have a right to be the second big political giant in our country, shame on you
 
Hivi haya maridhiano ya CUF na CCM yamebase kwenye misingi gani?? Hivi ikitokea mmoja wao akashinda kwa 95 % je serikali ya mseto bado ni lazima. Au ikitokea chama kingine cha upinzani kikaibuka na nguvu zaid ya CUF je hiyo serikali ya mseto itaundwa na nani??
 
Kitu mimi nilichoona katika ule mdahalo alikuwa ana hint kuwa yeye ana ujuzi wa siasa zaidi ya wengine. Vile vile alimshushia hadhi Kubenea kwa kuhusisha umri wa Kubenea na mambo ya historia ya Zanzibar, akiashiria kuwa Kubenea hana ufahamu wa historia.
 

Katika kipindi cha pili cha Mkapa, rais huyo alimteua Hamad Rashid kuwa Mbunge. Jee inajulikana sababu yake? Ni kumnunua na kumtuliza kutokana mauaji ya wana-CUF yaliyofanywa na polisi wa Mkapa kule Pemba?

Kama ni hivyo, basi hawa viongozi wa CUF walishaanza kununuliwa na CCM tangu zamani, hivi sasa wanakamilisha tu manunuzi hayo.

Inatia kichefuchefu!
 
Kwa kukubali kununuliwa na CCM ni sawa na kunywa zile damu za wana CUF waliouawa na askari wa CCM. Askari walio ongoza mauaji yale kule pemba walizawadiwa vyeo na amiri jeshi mkuu wakati huo Dikteta Benjamin Mkapa, na HR naye akazawadiwa ubunge, aibu kweli kweli.SHAME ON YOU HAMAD RASHID
 
Pamoja na tabia na sifa hizo 10 alizonazo Hamad Rashid kitu kingine ni ;

.. 11 .Ana tabia za kitoto(kiuanafunzi)

Hamad Rashid yeye alichukulia ule mdahalo kama mashindano ya shule na shule(sekondari) kwa hiyo akawa na jazba na kulazimisha mambo ili aonekane mshindi.

Uchambuzi wako ni mzuri na naukubali..Ni kweli CUF wako kimaslahi zaidi angalia baada ya uchaguzi huu Maalim Seif kapata Umakamo wa Rais(SMZ),Juma Duni Haji ni waziri wa afya(SMZ),kwa hiyo malengo ya CUF ni Zanzibar ,maskini Prof.Lipumba pamoja na uprofesa wake hawa kina HR na Maalif wamemmeza kabisa hafurukuti.


Kwa upande wa Hamad Rashid kinachomuuma zaidi kitendo cha yeye kutopata cheo kwa hiyo analazisha uwepo wa kambi ndogo ya upinzani bungeni ili yeye awe kiongozi kinyume cha kanuni za mabunge ya Jumuiya ya Madola.Hizi ni tabia za ufisadi na uroho wa madaraka alionao Hamad Rashid.


Siku ya mdahalo mara nyingi Hamad Rashid alikuwa nje ya mada ,akiongea upupu kwa jazba,alidhihirisha utoto wake,kutaka sifa na dharau kwa Mbowe pale aliposema kuwa kanuni za kambi upinzani alizozitaja Mbowe zilitungwa na Hamad Rashid na Dr.Slaa.


Baada ya kuona hana hoja ya kuongea akaanza kuleta mambo ya udini na bila aibu kuonesha tamaa yake ya madaraka akasema kuwa ammemwandikia barua Spika wa Bunge ili kuwe na kambi ndogo ya upinzani. Shame on him.
 
Kwa jinsi wanachama wa CUF wa kawaida walivyokereka na usaliti wa viongozi wao, 2015 CCM watapata ushindi wa kishindo na wa kihistoria wa 90% na huo ndiyo mwisho wa CUF.Mwisho wa ubaya ni aibu.Hivi hamkumbuki taharuki ya wana CUF siku ile Maalim Seif alivyotangaza kumtambua Rais Karume?
 
Umefika jimboni kwake hana lolote huyo anapenda kubwabwaja tu hayuko kwa maslahi ya umma
 
Mkuu hapa naona umemshukia Ndugu Hamad with full force!!!
Ungepunguza ushabiki ungeiwasilisha vizuri na pengine ungemshauri nini afanye kuondosha mapungufu aliyonayo. Hakuna mkamilifu katika binadamu.
Lengo langu ni ku-comment katika hizo nukta ulizoziorodhesha. Nimechagua hizi:-

2. Haijui vizuri katiba ya JMT na kanuni za bunge

Alikaa bungeni zaid ya miaka 15 na alishashika madaraka mbali mbali serikalini. lakini haijui vizuri katiba ya nnchi na kanuni za bunge, kiasi cha kushindwa kujua kutoka bungeni kwa wabunge wa CHADEMA sio kuvunja katiba wala kanuni yoyote ya bunge.

6. Anajivunia uzanzibar kuliko utanzania. (ni mmbaguzi)

Kauli zake zinadhihilisha kilcho moyoni mwake.


9. Ni kigeu geu / Hana msimamo

Amekuwa akitoa kauli zinazopingana. Kwanza alishasema kwamba Mh.Mbowe hakumualika kuunda kambi ya upinzani, the akasema aliambiwa akakataa kutoka na tofauti za kimisimamo. Hata alipoulizwa aseme ipi ni kauli sahihi aliruka kwa ukali ule ule kwamba "mimi nipo very seriose na kauli zangu". Sijui swali hakuliewa ? alitumia ukali kuficha udhaifu au ndo udikteta?

1.Kwamba haijuwi katiba ya JMT.
Jamani katiba yenyewe katiba tia viraka. Sote tuna kilio, tunataka Katiba Mpya. Ni kuwa katiba iliyopo haikidhi matakwa ya Umma wa Tanzania kwa hiyo akiijuwa au akijifanya haijuwi si muhimu sana .Ukweli ni kuwa katiba iliyopo haitufai katika mazingira tuliyonayo leo. Kwa nini tutaendelea kutia viraka. Viraka ambavyo badala ya kusawasisha hali au jambo huwa inazidisha utata?
By the way, inaoneka wabunge wengi tu hawaijuwi, hawaielewi katiba ya JMT. Ubunge na siasa imekuwa ni short cut ya kupunguzia makali ya njaa kwa wabunge wengi.

2. Kwamba anajivunia uzanzibari kuliko utanzania na kwa hiyo ni mbaguzi.
Mkuu, Utanzania ni kitendawili, zari, mazingaombwe, kiini macho, changa la macho, danganya toto! tafadhali rudia "the articles of Union " zilizounda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar baadae "Tanzania"
Umeshawahi kusikia kuna nchi inayoitwa " The European Union"?. nijuavyo European Union Ina members wake na ni nchi hizo ulizozifikiri katika kujibu suali nililokuuliza.

Members wa Muungano wa Tanzania ni nchi zipi?

Mwalimu kama angekuwa yuko hai angekuwa mtu pekee aliye na uwezo wa kutujibu leo kwa nini allifuta Tanganyika? na serikali ya Tanganyika? Au kama Jaji Warioba anaweza kutusaidia katika hili basi atusaidie.
Mini nafikiri watu huwa wanajinasibu kwa daraja. hutamkuta mchaga akajivunia umakonde au usukuma. Mchaga atajivunia uchaga wake na sehemu alikotoka kama ni Arusha au Moshi.
Nina hakika ukikutana na Hamad nje ya Tanzania atajivunia utanzania wake na sio uzanzibari wake. na atakapokuwa katika kundi la waulaya na waamrika au waasia atajivunia uafrika wake kuliko Utanzania wake. after all, Wazanzibari hawajivunii sana ukabila kama wenyeji wa Tanganyika kwani ukabila wao ni huo Uzanzibari na wanapokuwa ndani ya Zanzibar hujivunia au hujiita kwa sehemu walizotoka kama mtumbatu, mpemba, muunguja, mkojani. Tupo pamoja ndugu?

3. kwamba ni kigeu geu/ hana msimamo
Kama mimi na wewe tumefuatilia mdahalo ule ule basi utaona kuwa Chadema kupitia Mbowe na cuf kupitia Hamad wamesema kuwa bado doors are open katika kuunda kambi inayoshirikisha vyama tofauti . Ki kanuni, Chadema wanaweza kuunda kambi ya upinzani peke yao bila ya kushirikisha wengine. Suali hapa ni at what cost? watapata nini? watakosa nini? wapinzani wote wakiungana au wakishirikiana hata kama kutakuwa hakuna mamluki au wasaliti au CCM B na C bado wanakazi kubwa ya kufanya kuichallenge CCM ambao wana support ya dola, kuanzia mjumbe wa nyumba kumi, mkuu wa wilaya , mkoa, usalama wa taifa, jeshi, polisi, magazeti, tume ya uchafuzi ..you name it! bado wapinzani wana muda wa malumbano ambayo hayawaletei tija yoyote?

Kama WATANGANYIKA NA WAZANZIBARI sisi wananchi tuwashawishi viongozi wa vyama vya upinzani kuweka mbele maslahi ya Taifa na sio kivyama. Taifa la Umoja wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania!!??) ni kubwa kuliko chama chochote na wananchi walio wengi katika Tanganyika na Zanzibar wako taabani, dhofu wa hali na mali,wamejichokea na wanakata tamaa sasa.
 
Mkuu hapa naona umemshukia Ndugu Hamad with full force!!!
Ungepunguza ushabiki ungeiwasilisha vizuri na pengine ungemshauri nini afanye kuondosha mapungufu aliyonayo. Hakuna mkamilifu katika binadamu.
Lengo langu ni ku-comment katika hizo nukta ulizoziorodhesha. Nimechagua hizi:-

2. Haijui vizuri katiba ya JMT na kanuni za bunge

Alikaa bungeni zaid ya miaka 15 na alishashika madaraka mbali mbali serikalini. lakini haijui vizuri katiba ya nnchi na kanuni za bunge, kiasi cha kushindwa kujua kutoka bungeni kwa wabunge wa CHADEMA sio kuvunja katiba wala kanuni yoyote ya bunge.

6. Anajivunia uzanzibar kuliko utanzania. (ni mmbaguzi)

Kauli zake zinadhihilisha kilcho moyoni mwake.


9. Ni kigeu geu / Hana msimamo

Amekuwa akitoa kauli zinazopingana. Kwanza alishasema kwamba Mh.Mbowe hakumualika kuunda kambi ya upinzani, the akasema aliambiwa akakataa kutoka na tofauti za kimisimamo. Hata alipoulizwa aseme ipi ni kauli sahihi aliruka kwa ukali ule ule kwamba "mimi nipo very seriose na kauli zangu". Sijui swali hakuliewa ? alitumia ukali kuficha udhaifu au ndo udikteta?

1.Kwamba haijuwi katiba ya JMT.
Jamani katiba yenyewe katiba tia viraka. Sote tuna kilio, tunataka Katiba Mpya. Ni kuwa katiba iliyopo haikidhi matakwa ya Umma wa Tanzania kwa hiyo akiijuwa au akijifanya haijuwi si muhimu sana .Ukweli ni kuwa katiba iliyopo haitufai katika mazingira tuliyonayo leo. Kwa nini tutaendelea kutia viraka. Viraka ambavyo badala ya kusawasisha hali au jambo huwa inazidisha utata?
By the way, inaoneka wabunge wengi tu hawaijuwi, hawaielewi katiba ya JMT. Ubunge na siasa imekuwa ni short cut ya kupunguzia makali ya njaa kwa wabunge wengi.

2. Kwamba anajivunia uzanzibari kuliko utanzania na kwa hiyo ni mbaguzi.
Mkuu, Utanzania ni kitendawili, zari, mazingaombwe, kiini macho, changa la macho, danganya toto! tafadhali rudia "the articles of Union " zilizounda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar baadae "Tanzania"
Umeshawahi kusikia kuna nchi inayoitwa " The European Union"?. nijuavyo Europian Union Ina members wake na ni nchi hizo ulizozifikiri katika kujibu suali nililokuuliza.
Mwalimu kama angekuwa yuko hai angekuwa mtu pekee aliye na uwezo wa kutujibu leo kwa nini allifuta Tanganyika? na serikali ya Tanganyika? Au kama Jaji Warioba anaweza kutusaidia katika hili basi atusaidie.
Mini nafikiri watu huwa wanajinasibu kwa daraja. hutamkuta mchaga akajivunia umakonde au usukuma. Mchaga atajivunia uchaga wake na sehemu alikotoka kama ni Arusha au Moshi.
Nina hakika ukikutana na Hamad nje ya Tanzania atajivunia utanzania wake na sio uzanzibari wake. na atakapokuwa katika kundi la waulaya na waamrika au waasia atajivunia uafrika wake kuliko Utanzania wake. after all, Wazanzibari hawajivunii sana ukabila kama wenyeji wa Tanganyika kwani ukabila wao ni huo Uzanzibari na wanapokuwa ndani ya Zanzibar hujivunia au hujiita kwa sehemu walizotoka kama mtumbatu, mpemba, muunguja, mkojani. Tupo pamoja ndugu?

3. kwamba ni kigeu geu/ hana msimamo
Kama mimi na wewe tumefuatilia mdahalo ule ule basi utaona kuwa Chadema kupitia Mbowe na cuf kupitia Hamad wamesema kuwa bado doors are open katika kuunda kambi inayoshirikisha vyama tofauti . Ki kanuni, Chadema wanaweza kuunda kambi ya upinzani peke yao bila ya kushirikisha wengine? Suali hapa ni at what cost? watapata nini? watakosa nini? wapinzani wote wakiungana au wakishirikiana hata kama kutakuwa hakuna mamluki au wasaliti au CCM B na C bado wanakazi kubwa ya kufanya kuichallenge CCM ambao wana support ya dola, kuanzia mjumbe wa nyumba kumi, mkuu wa wilaya , mkoa, usalama wa taifa, jeshi, polisi, magazeti, tume ya uchafuzi ..you name it! bado wapinzani wana muda wa malumbano ambayo hayawaletei tija yoyote?

Kama WATANGANYIKA NA WAZANZIBARI sisi wananchi tuwashawishi viongozi wa vyama vya upinzani kuweka mbele maslahi ya Taifa na sio kivyama. Taifa la Umoja wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania!!??) ni kubwa kuliko chama chochote na wananchi walio wengi katika Tanganyika na Zanzibar wako taabani, dhofu wa hali na mali,wamejichokea na wanakata tamaa sasa.

Hapo kwenye red kaka! Tambua republic union na union za kawaida zinakuwa tofauti!Usipotambua Tanzania ina maana hutambui muungano ambao ulizaa Taifa moja la Tanzania. kumbuka Tanzania does not represent only Tanganyika or Zanzibar.

Mbona hujahoji United States of America wanavyoishi na unakimbilia Europe??
 
Back
Top Bottom