Ww upo nchi hizo.Haa haaa Kuna nchi nyingine ni mchana ndugu
tulikutania ndotoni 🙉Oh huyo mume ulikutana nae kanisani na hamkuanzia kuwa wapenzi kwanza?🤔
Research zinasema ni watu timamu kabisa wengi wao na kufumwa.juu.Machizi wa kiume kwanza muda huo hawana ndo Mana wakawa machizi hao wa kike Mara nyingi Wana be rapedKwani hao machizi hawawezi kupewa mimba na machizi wenzao? una uhakika gani kua wamepewa mimba na watu timamu?
Mtu mwenye akili ya utimamu hawezi kulala na chizi.
Mimi sipo serious hata na mimi mwenyewe, seuze yeyeHaaa haaa hata umfanyeje mwisho wa siku unaamua kuwa Naye tu...na wewe why kumvamia mtu Kama haupo serious naye



We umeshaliwa ww kiboga , sio dhambi rafiki kusema. Humu tunakulana sana tu. 🤣🤣Jamani hata sijawahi muona After all sikumaanisha huyu Mshana wenu wa humu wapo kitaa.Kama kutumia jina lake I'm sorry ni sawa ningetaja John
Maua yake tafadhali sana umeandilka madini sanaHeloo,
Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!
Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.
Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.
Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.
Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.
Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.
Ni mwendo wa kukomaaa!
Njoo na mimi tukulane basi, 😊😊Ni mfano tu jamani lin naona mod kaondoa kumbe mifano hairuhisiwi
Kuna mmoja nataka tu kumpa hi ananibrush aside kama takataka. Auone huu uzi


Tugandane basi rafikiNi mfano na sio wote wanaotembea na machizi lkn tunaona mtaani machizi wenye watoto zaidi ya mmoja na sura za wababa wa mtaani Duniani Kuna mengi dear Demi
Morning babe. Umeamkaje?Kheeeee![]()