Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Naona masingo maza mnapeana upumbav, sasa mlivyo komaa hvyo mwanaume gani atawakubali... Nyie dangeni maisha yaende mfe
 


Watu wanataka kuwapeleka bebez zao USA huko we unakuja na habari za magurudumu, yasukume mwenyewe

Mwambie huyooo yeye anataka tupauke kusubiria atoboe


Atoboe maisha kwanza ndio aje kutafuta bebe wa kumsaidia kunyumbulisha pesaa
 
Huna Hela unatabu zako namakasiriko Yako afu ghafula mtoto wa mamkwe nae kakuganda,,,,😎😎😎😎😎tupeane nafasi jamani daaa
 
Huna Hela unatabu zako namakasiriko Yako afu ghafula mtoto wa mamkwe nae kakuganda,,,,
tupeane nafasi jamani daaa
Ila mm nachokiona mtu akikuganda utakereka kama tu humpendi au nakosea? Kama unampenda huwez ona kama ni kero.
 
Mwambie huyooo yeye anataka tupauke kusubiria atoboe


Atoboe maisha kwanza ndio aje kutafuta bebe wa kumsaidia kunyumbulisha pesaa
noma sana.

Ndo mana kiranga aliamua kupiga kura kwa miguu kwenda kusukuma gurudumu lake halafu leo ndio kama hivi anatafuta wa kuteremsha nae gurudumu.
Nasema uongo brother Kiranga ?
 
Duuu! Dada safi sana, umewapa ujumbe mzuri. Sisi wanaume ni adimu sana
 
noma sana.

Ndo mana kiranga aliamua kupiga kura kwa miguu kwenda kusukuma gurudumu lake halafu leo ndio kama hivi anatafuta wa kuteremsha nae gurudumu.
Nasema uongo brother Kiranga ?

Kabisa bro sisi tunaondoka na kiranga NYC
 
Mlongo nileka na lidoda langu leniliii, lina hela, koto kumkinilaa wengaaa, au ve ugani lepa tuhamba kwe ku marekano??uwaya kukwela mndege?? Apu hinu pe paunijovili niyeliwi he.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya mlongo wangu,nigana sanaaa kulota ku marekano......MGANDEEE
 
Na utachinaaaa uduguuuu wanguuuu, USA km mbeleeee,
, niwacheeeee eti Kiranga wee si boss kubwaa Una mahela km yoteee? Tena unisomeshee masters hapo Massachusetts.
Bora unakumbuka hata masters🤣🤣🤣🤣🤣
 
Harusiiii ya kitajiriiiiiii ninayooooooo


Cute Wife uduguuuu niwacheeee, nataka kubehave ki ushuaa, c unajua mambelee hakuna uswaziii??
h
Yaani utateseka huko kunifanya wa kishua kama hujamiss ngwala na utumbo wa mama doi😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…