Om is om
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 260
- 71
kama ni sumu atakuja amekunywa maziwa lol
Lbd ya ng'amia
kama ni sumu atakuja amekunywa maziwa lol
hivyo, hata mimi naumia mtu akinitaja....
sitaki hata kuwa wa akiba hiyo chance chukua wewe
umeamua kujilipua, afadhali ndg yangu maana mficha .........hazai
Ndo mpango mzima. Kwa nini uumie? Unatiririka tu
teh teh teh teh u hu hu huhuuu lol....
Ww wacha tu, ila naamini ipo cku nami nyota yangu itang'ala, nitapata beby wangu humu humu.
afu ujue kuanzisha uzi bila kuwasiliana na muhusika sio vizuri sijapenda kabisa umeniharibia siku yangu afu unazidi kunichefua
haswaaaa but sijawahi kukuona wewe umetiririka
nlitaka nishangae usitie neno,unataka a fall in love na nani,mchagulie bas maana ndo kazi zako
Kumbe kuanzisha uzi kwa ajili ya mwanajf lazima umpim??