He he he jf stress free zone ukiichukulia serious utavurugika bureee hapa story tuNamuunga mkono mdada mwenzio aliekuuliza kwa jamaa sio mtu ni jiwe.
Mtoto wa mwanamke mwenzio ujue alafu kaongea kwa hisia fanya kama bahati mbaya chepuka tu utakuja kumuua kwa msongo wa mawazo mweeee...!
Nyetuka tu wewe ushabugimambo yakienda sawa, Evelyn salt ninazawadi yako, nisomeshee mtt asikie kilio changu
weka wazi mume wako humu ni nani?funguka kama wenzio lara1 na matola na mom Fay na Aroveraahsante kwa kunipenda ila hapo hupendi me wa like post zangu hapajakaa sawa mimi nina mume wangu humu ujue utamuoneaje wivu mk
e wa mtu Tee
Bag
weka wazi mume wako humu ni nani?funguka kama wenzio lara1 na matola na mom Fay na Arovera
tehe tehe umemaliza,lakini hata hivyo Mchambuzi huru alishaweka humu uzi wa namna ya kutongoza hapa JF hii njia iliyotumika hapa haimo.He he he jf stress free zone ukiichukulia serious utavurugika bureee hapa story tu
sijamaanisha chochote wala, walio serious hawatongozagi hivo
ujue
He he he jf stress free zone ukiichukulia serious utavurugika bureee hapa story tu
sijamaanisha chochote wala, walio serious hawatongozagi hivo ujue
Udalali wa mapenzi nshaacha miereal i lv her, nisaidie jins ya kum'miliki huyu mtt
tehe tehe umemaliza,lakini hata hivyo Mchambuzi huru alishaweka humu uzi wa namna ya kutongoza hapa JF hii njia iliyotumika hapa haimo.
Akuuuuu mwenyewe naingia kwa jirani sahivi nazuga na story story hapo muda ya daku nakula narudi kulalaSi kasema atakupa zawadi ukimsaidia?nendeni basi chemba mpe tekniki za kujibebisha aanze upya haaaahaaa mara karudi anaomba namba ya simu.
JF niache nlale mie niwahi alfajiri kuvizia daku la jirani maana mi ndio namuamsha kwa vile simu yangu ndio yenye alarm mweeeee asante teckno yangu kwa ajira hii.
Akuuuuu mwenyewe naingia kwa jirani sahivi nazuga na story story hapo muda ya daku nakula narudi kulala
keyboard itamsaidia kutongoza....
afu ujue kuanzisha uzi bila kuwasiliana na muhusika sio vizuri sijapenda kabisa umeniharibia siku yangu afu unazidi kunichefua