Mdada huyu anapotajwa naumia jamani

Mdada huyu anapotajwa naumia jamani

Hata sisi tukimtaja unaumiaa tu mke wa mtu huyooo Excel atakugechaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Umekuja kwa kasi, utarudishwa kwa kasi

Anga za wenyewe
 
983694_1433317476929309_4419445810171090351_n.jpg
 
Tee Bag nadhani uwe unatembea na maziwa fresh tu usijali.,.... asante mkuu kwa kuwa kishawishi kwako... kumbe na mimi nashawishi nilikuwa sijui... karibu MMU tufundishane mapenzi na michepuko
 
weka wazi mume wako humu ni nani?funguka kama wenzio lara1 na matola na mom Fay na Arovera.,@ Kumbe kuna mamis walioolew
 
stata mzuka said:
Jamaa hana kosa atajuaje Mke wa mtu wakat anajiita Miss?@ Mkuu tano hizoo! aedit jina hilo lake tena
 
weka wazi mume wako humu ni nani?funguka kama wenzio lara1 na matola na mom Fay na Arovera.,@ Kumbe kuna mamis walioolew

Kaka kakwambia ana mumu humu ndani, chill kwanza tumia media tofauti. Unataka akubari mumewe akisoma uzi pia.
 
Back
Top Bottom