Kumbe kuanzisha uzi kwa ajili ya mwanajf lazima umpim??
Tatzo sio comment wala thread zake, kuna ka'picha ka miss neddy kaliwekwa kwenye jukwaa fulan, we sema ulivutiwa nako!
yeah kwa mtazamo wangu mimi afu inategemea na maudhui ya uzi wenyewe kama naanzisha kwa ajili ya kusifia Samboko na busara zake haina haja
Anhaa!! kumbe ukiona thread basi ujue wameambizana na wasomaji wanasoma na kuchangia uongo.
Ha haaaaa,na mm namtafuta kwa kunifungulia threadAnhaa!! kumbe ukiona thread basi ujue wameambizana na wasomaji wanasoma na kuchangia uongo.
Ha haaaaa,na mm namtafuta kwa kunifungulia thread
salamu kwenu wakuu!!!!!
kwanza kabisa mimi ni mpenzi mkubwa wa majogoo wa jiji, LIVERPOOL FC na niliipenda zaidi wakati nipo A-LEVEL kuleeee Tanga kunani, na niliipenda kwa sababu JOHN BAINS akifuatiwa na ABUU BAKARI TITI KAMARA hawa watu ndio walionipelekea kuipenda LIVER,
Tuhamie kenye point, mm nilikua ni m2 siasa na habari mchanganyiko huko ndio yalikua makazi yangu lakini kwa sasa naipenda MMU na imenikaa kwnye damu, naipenda kwa sababu kuna watu walionifanya nihame kutoka kule kuja MMU, napenda kuwatambua kwa majina Evelyn salt, Heaven on Earth, miss chagga , miss neddy hawa watu wameniamisha na kuja MMU lakini cha kushangaza kuna huyu mdada siku zinavyozidi kwenda anazidi kunichanganya kwanza sipendi ME amtaje kwenye post yake, na sipendi ME a-like post zake nashikwa na wivu hata sijui inakuajaje naumia sana miss neddy naumia unapotajwa, nasikia wivu,
from my HEART real i love YOU
weka wazi mume wako humu ni nani?funguka kama wenzio lara1 na matola na mom Fay na Arovera.,@ Kumbe kuna mamis walioolew
Wewe bonge la kilaza.Unapenda jina kwani umewahi kumuona utaliwa kiboga hapa dar kuwa makini
...................
from my HEART real i love YOU.........................
Una maradhi weweee