Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
Amejuaje ni dk wa kikatoliki hahah
Au kwa kuwa anafanya kazi kwenye hosp ya kikatoliki..
Huu uzi una walakini, kuna kitu kinaoneshwa hapa
Unampaje mchungaji vipimo kabla ya wewe na mwenzio kujijua.. Huu ni uboya..
Sent by anonymous user
Au kwa kuwa anafanya kazi kwenye hosp ya kikatoliki..
Huu uzi una walakini, kuna kitu kinaoneshwa hapa
Unampaje mchungaji vipimo kabla ya wewe na mwenzio kujijua.. Huu ni uboya..
Nilichoona hapo ni;
1.daktari wa kikatoliki
2.daktari wa kikatoliki
3.daktari wa kikatoliki
.......
........
Blah,blah bin blahs!
Udaktari wake na ukatoliki vinahusianaje katika hii chai yenye vitunguu swaumu na kupigwa changa la macho na huyo kibhurusi wako wa kike?
Sent by anonymous user