Ndio mkuu make nliona vita ya mpakwa mafuta siiwezKweli, mhuni ukawa unamega kisela
Kuna mahali niliwahi kusoma...kuna muumini analalamika amemkopa nabii mil 1 hajamrudishia anampiga chenga tu
Watu wanaendhivi kweli unaenda kwa shilla
Ndio mkuu make nliona vita ya mpakwa mafuta siiwez
Khaaa khaaa Kuna Jirani yangu alimtangazia kuwa atamwoa😁alipopata alichotaka akawa ata simu apokei tenaTuliwahi gombania demu mmoja Sinza nikajitoa kwenye kinyanganyiro demu akanionea huruma akawa anachukua pesa kwa nabii halafu mimi napewa papuchi for free.
Siku kampigia video call nkamwambia pokea alimuhisi yupo na mwanaume mi nkatoka nje basi akamuonyesha chumba kizima hadi sebuleni kumbe sie tunacheza na camera.khaaa khaaa Kuna Jirani yangu alimtangazia kuwa atamwoaalipopata alichotaka akawa ata simu apokei tena
🤣🤣🤣🤣🤣Tuliwahi gombania demu mmoja Sinza nikajitoa kwenye kinyanganyiro demu akanionea huruma akawa anachukua pesa kwa nabii halafu mimi napewa papuchi for free.
Huwa nawaonea huruma sana akina mama wenzangu maana ndio tumejikuta wapitia wakuu wa nyumba za ibada zao hivyo kuishia kuwa wasindikizaji wa lifestyle za wahudumu wa kaliba hizi.
HahahahahaWenye hela hawaoneshi hela. Hawabebi makesh kesh hivo.
Wanabeba debit card, tena Black.
Hizo hela mezani hazivuki Mil 7, iPhone 12 Mil 2, HP iyo Mil 1, ilo Didot fake, Saa gharaka..
Ila wivu utaniua.. Tuache awaibie kondoo zake man.
Keshasoma humu.Tuliwahi gombania demu mmoja Sinza nikajitoa kwenye kinyanganyiro demu akanionea huruma akawa anachukua pesa kwa nabii halafu mimi napewa papuchi for free.
Wauza poda hao wasikuumize kichwaMC Pilipili naye mchungaji siku hizi, yaani wamemgeuza Mungu babu yao.