Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,416
- 7,649
Wake za watu wanato..mbwa sana na hawa kanjanjaNa bado unakuta kanisa limejaa hususan kina mama zetu unakuta huwaambii kitu. Hawa jamaa sio bure, nahisi huaga kuna kakitu wanatumia kufanya mind control
alipopata alichotaka akawa ata simu apokei tena

