Proud Patriot
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 224
- 10
Maelezo yanajichanganya soma no.5 na 6
Hujaelewa nini? Hakuchaguliwa kujiunga shule ya serikali, Dummy!
Maelezo yanajichanganya soma no.5 na 6
ha haha kabisa
Kama ni kanya boya bashite ampeleke mahakamani sheria ichukuwe mkondo wake!Huyu mchungaji au kanyaboya
adai Ana ushahidi Daudi bashite aka ..RC alipiga zero.
movie inaenda patamu
Umesema miaka ya 2000 kurudi nyuma walikua wanapewa .oh pole kumbe na wewe ni mtu wajuzi juzi...mamy....enzi hizo zero walikuwa wanapata vyeti but miaka ya 200_ ndipo vyeti vya waliopata zero vikawa vinazuiwa
Xhuo ?Uyo mwenye cheti kasema hajampa makonda na angeweza yeye kusoma xhuo kama angempa makonda cheti chake? ina maana chuo wangeenda watu wawil wanaotumia cheti kimoja? kuweni na akili axheni kulishwa maneno, gwajima yeye sio waziri wa elimu wala mwenyekiti wa necta, nitachoamn gwajima ana povu la kutajwa, mungu anajua sana ndomana hakumpa urefu gwajima maana angesumbua sana. Gwajima namfahamu kama mzinifu mwizi wa wake za watu....na muuza unga hasiyetumia unga...namn ushahidi upatikane zaidi atiwe hatiani.....Ninachoamini kuwa gwajima na story zake za kutunga na kujingiza kwenye siasa uku akisahau kazi yake alonayo...Namkumbusha gwajima haache kula pesa za wahumin wake kuwatapeli na kujijengea majumba ya fahari mno.....Who iz gwajima....?? Gwajima ni mzinfu mwizi....mropokwaji,,,,Mfitinishaj wa ndoa za watu
X ndio CUyo mwenye cheti kasema hajampa makonda na angeweza yeye kusoma xhuo kama angempa makonda cheti chake? ina maana chuo wangeenda watu wawil wanaotumia cheti kimoja? kuweni na akili axheni kulishwa maneno, gwajima yeye sio waziri wa elimu wala mwenyekiti wa necta, nitachoamn gwajima ana povu la kutajwa, mungu anajua sana ndomana hakumpa urefu gwajima maana angesumbua sana. Gwajima namfahamu kama mzinifu mwizi wa wake za watu....na muuza unga hasiyetumia unga...namn ushahidi upatikane zaidi atiwe hatiani.....Ninachoamini kuwa gwajima na story zake za kutunga na kujingiza kwenye siasa uku akisahau kazi yake alonayo...Namkumbusha gwajima haache kula pesa za wahumin wake kuwatapeli na kujijengea majumba ya fahari mno.....Who iz gwajima....?? Gwajima ni mzinfu mwizi....mropokwaji,,,,Mfitinishaj wa ndoa za watu
kanywe juice ya ukwaju usikilizie utamu wa ugwadu na si kuongea mambo ya bashiteshule 6 kuwa za mwisho Dar ni Urithi Toka Kwa Baba.
Ila nilichojifunza katika ulimwengu huu ni kwamba kosa likiangukia kwa mnyonge utadakwa na polisi au kufukuzwa kazi siku hiyo hiyo hata kama ni habari za mtandaoni.Kama ni wakubwa khaaaa...!kimyaaaaaa....! Wale masela waliotoa kichapo kwa mwanafunzi mbeya walichukuliwa hatua mara moja mara baada ya kusambaa video. La huyu bashite sijui ...nani... Mhmmmm... kimyaaaaaaa
Huyu bwana maamuzi yake hayatofautiani na Daud or fake makonda
Kwa kuwa imethibitika makonda alitaga form four kwa kupata zero
Na ilimbidi anunue cheti cha bwana mwingne kuendelea na elimu
Je Rc wa arusha lile ni jina lake?
Au na yeye yupo hapo kwa hisan ya mrisho gambo
Magufuli aliwahi kusema alikuwa analazimika kulala usiku wa manane ili kupitia na kukagua majina ya wateule wake
Ni kwel magufuli yupo smart km anavyoongea au yeye husema tu aonekane yupo hivyo
Mweye kumjua huyu Rc gambo tafadhali isije kuwa arusha inaongozwa na kilaza km hapa dar
wote hawa wapo kwa kwazi moja kuhangaisha wapinzaniHuyu bwana maamuzi yake hayatofautiani na Daud or fake makonda
Kwa kuwa imethibitika makonda alitaga form four kwa kupata zero
Na ilimbidi anunue cheti cha bwana mwingne kuendelea na elimu
Je Rc wa arusha lile ni jina lake?
Au na yeye yupo hapo kwa hisan ya mrisho gambo
Magufuli aliwahi kusema alikuwa analazimika kulala usiku wa manane ili kupitia na kukagua majina ya wateule wake
Ni kwel magufuli yupo smart km anavyoongea au yeye husema tu aonekane yupo hivyo
Mweye kumjua huyu Rc gambo tafadhali isije kuwa arusha inaongozwa na kilaza km hapa dar