Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Uwakiki ulikuwa kwa walimu tu na manesi hao ndowalikiona chamtemakuni wamehakiki zaidi ya maranne watu waliacha kazi ndani ya masaa 24 wengine wamekula kona kimya kimya ilikuwa zaidi ya noma.hao wauko juu hawakuguswa
Waambie hao.Na tunataka ma RC nao uhakiki ufanyike
 
akifungua kesi itabidi aje na ushaidi wa kuonesha yeye si daudi bashite
 
Na huu ndo ukweli. Et anataja majina hovyo tu wakati hana ushahidi.
Safi Gwajima na NECTA wawajibike na wizara pia.
 
Why amshitaki si aweke vyeti vyake kuondoa huu uzushi? Gwajima huenda alimaanisha anamatokeo yake sio vyeti so why waste time and resources kumshitaki Gwajima badala ya kuonyesha vyeti and clear the bad wind
 
Hakuna mtu ambaye hajuwi kuwa pili pili inawsha hawezi jimwagia maji ya pili pili machoni akifungua kesi ndio kajimaliza!
 

Mbona Mimi huku simiyu ni mteule ila sikufikiwa uhakiki
 
Namuona NNappee akiwa mkuu wa mkoa wa DDaarr na baadaye afisa tawala wa mkoa wa maeneo ya katavi.
 


Kweli ndugu Wanga, mtu akilaumu na yeye atalaumiwa, akihukumu na yeye atahukumiwa. Makonda yeye alishughulikia madawa ya kulevya na sasa watu wanamsakama kwa yanayodaiwa kuwa ni kasoro katika vyeti vyake. Hivi asingesema neno juu ya madawa ya kulevya haya tungeyasikia? Kwa hiyo viongozi wetu wafumbe vinywa vyao waache kuufanya uongozi kwa kuwa wakisema neno nao watasemwa? Makonda angekuwa anatumia madwa ya kulevya ingeeleweka kama watu wangemshutumu kwa shughuli hiyo? Lakini hatuna habari kama anatumia. Hata kama hana vyeti sahihi (mimi sijui ukweli upo wapi), basi asihukumiwe kwa sababu alijaribu kusema kitu juu ya madawa ya kulevya na hatima ya vijana wetu nchini.

Mr. Wanga umechukua mkondo unaofaa kurekebisha mtiriririko wa shutuma kwa Ndugu Makonda. Nimekuelewa kuwa unataka watu wanaomlaumu wawe "fair". Ni kama umewauliza hao wanaomtuhumu kuhusu vyeti vyao wenyewe vikoje? Hata kama vyeti vya mtu ni vizuri lakini sijui kama ni sawa kuvishambulia vyeti vya mtu mwingine kwa kuwa tu amesema kitu juu ya madawa ya kulevya. Ikiwa mheshimiwa atavitoa vyeti nadhifu vya taaluma zake hawa wanaosema sana watakuwa na lililobaki la kusema?

Nakumbuka shauri la Rais mstaafu wa Marekani Mhe. Barack Obama alivomaliza kejeli za kuzaliwa kwake baada ya kutoa cheti sahihi cha kuthibitisha kuwa yeye alizaliwa Marekani; na ni Mmarekani kwa maana hiyo na hivyo kustahili kuwa Rais wa Marekani. Utendaji wa Obama leo unalinganishwa na ule wa mkosoaji wake mkuu Mhe. Donald Trump (Rais wa sasa wa Marekani) na unaonekana ulikuwa bora hadi kipindi hiki pamoja na kushutumiwa juu ya cheti chake cha kuzaliwa. Nisingependa kumsisitiza Mhe Makonda kutoa vyeti vyake vinavyozungumziwa, hiyo itakuwa ni kuicheza ngoma ya wakosoaji wake. Yeye achape kazi kwani anajua ni nani alimweka hapo na kwamba mpaka anaipata nafasi hiyo utaratibu unaotakiwa ulifuatwa.
 
 
Wahenga walinena "Ngoma ikivuma sana haikawii kup

...ka".Hayo ni malipo yake
 
Duh, kweli anaemaliza ndie huonekana Mbaya, yeye alipochafuliwa ulileta uzi humu?

Hata hivyo nafurahi hawezi kwenda mahakamani maana hii issue ni nzito kuliko kawaida, ngoja wageni wawasili kanisani juma 5.
Sababu ya police kuzingira nyumba ya Gwajima leo.
 
Bashite kajisahau anajiona na yeye kawa mtoto wa Dasalamu kwa kula chipsi kuku. Kumbe wana kijiji wenziwe akina Gwajima wanamjua dadeki zake.



Ndukiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…