Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,223
- 998
Kwa ninavyofahamu hapa Tanzania mwanafunzi akipata zero hapewi cheti chochote au utaratibu umebadilika?
Gwajima amesema anavyo vyeti vya Daudi Bashite vipo ofisini kwake. Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kuwa Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.
.
Walikua wanatoa zamani,nyie watoto mliozaliwa Leo mnashidaKwa ninavyofahamu hapa Tanzania mwanafunzi akipata zero hapewi cheti chochote au utaratibu umebadilika?
Alaa.Walikua wanatoa zamani,nyie watoto mliozaliwa Leo mnashida
Anhaa. So kumbe kinaweza kupatikana?Nadhani zamani wenye zero walikuwa wanapewa vyeti... system ya kuwanyima vyeti ilianza kwenye miaka ya tisini hivi...
acha kujikomba mrs..Kwa haya yanayoendelea kati ya mh Paul Makonda na Mchungaji Gwajima ni dhahiri shairi ni udhalilishaji na kuchafuliana majina tu!
Kitendo cha Gwajima kuzusha habari za kumchafua mkuu wa mkoa ukweli si nzuri na hii kosa kabisa
Hivyo namshauri mkuu Makonda achukue hatua zaidi alifikishe hili kwenye sheria, ili Gwajima apishe faini!
Hii ni udharilishaji hasa kwa mtu mkubwa kama Rc wa Dar es salaam!
Kumbe zamani walikua wanatoa vyeti hata ukiwa na Zero![]()
Wewe kweli mzee wa kijiwe Division 0 wanapewa vyeti ?
Sasa Daudi alete Cheti halisi au alete a statement of results yake tulinganishe na hii kitu imewekwa hapa.Ninadhani hii ni statement of results sio cheti.
.....Gwajima ni ny*ko!
Tisha sana!
Mie nilishajitoa kutetea ujinga...
Wale TeamMakonda,haya kazi kwenu!
Gwajima is Dope!
Ahahaha
Na Bashite aliyetangaza kupitia Live TV Coverage kwamba Gwajima anajihusisha na dawa za kulevya kwako wewe ni sawa sio?! Au unadhani kwavile yeye ni RC ndo ana haki ya kuchafua watu hadharani kupitia Live TV Coverage?!!Kitendo cha Gwajima kuzusha habari za kumchafua mkuu wa mkoa ukweli si nzuri na hii kosa kabisa