yaaani nimeisikiliza hiyo audio ya baba Askofu aiseeeeee, nmecheka jamaaaa alivyovuliwa huyo mkuu wa mkoa wa starehee. Kukurupuka kubaya sana sana sana.
Tatizo nchi hii hawa ccm washaona kama walipewa na baba yao mungu sijui wawapi. Nchi utafikiri ya familia flani wengine wote mapoyoyo tuu