Nawaonea huluma sana mlieko Dar...
Mtu kipindi unapiga shule umetoka na one yako nzr tu, umepata two inayong'aa , three yenye hadhi kabsa.... Ila cha ajabu watu mliofaulu vizr mnaongozwa na zero zero zero....
Hivi wana Dar es salaam mnajisikiaje kwa hali hii hasa kwa wale mlio tusua masomo vzr!?!?
Hivi watoto walieko mashuleni huko si wamepoteza molari ya kusoma kwa juhudi kwa sababu hata bashite alitoka na zero ila mambo yake yako vzr!?!?
Mimi namshukulu mungu siko Dar ila nawahulumia mlieko Dar huku mlipiga shule mkafaulu vizr huku wengi wenu wa 2015, 2014, huruma2016 + 2017 mkiwa hamna AJIRA huku BASHITE akiwa anatanua na sizonje!!!
Wana Dar mnaishije na baba yenu BASHITE!?!?!?
Nb. Mods naomba mnilinde koz Dar ina ngazi nyingi za uongozi hivyo basi sijamtaja MTU!!
Morari , sio molari . Nawahurumia . Sio nawahulumia .mlioko . Sio mlieko . Huruma . Sio huluma . Sijui Nani kasoma