Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Acha chuki were Gwajima.Kumbe RC alikaa darasani hata kama umejaribu kuudhihirishia umma kuwa aalitumia vyeti vya MTU mwingine.Madai yako yangepata mashiko kama hakukaa darasan kuisotea elimu yake.

Nikukumbushe pia kuwa mabadiliko ya jina yalifanyika kisheria

Hebu na wewe jitafakari usafi wa utumishi wako.
 
Hivi inawezekanaje mkuu wa mkoa kupata division ZERO? inamaana darasani alikuwa anasoma ujinga? Haya tuwekee vyeti mezani ndug Bashite
 
Kwa haya yanayoendelea kuhusu Bashite na ukimya wa viongozi wastaafu wa nchi hii,ni wazi Nyerere tu ndie alikuwa na uwezo wa kuwakemea warithi wake lakini kwa sasa hakuna tena kiongozi kama yeye.

Ninaamini Nyerere angekuwepo leo hii asingemuone mtu fulani aibu kwa kukalia kimya mambo haya na asingesita kumueleza ukweli tena hadharani kuwa anakosea.

Ni aibu sana!
 
Hao wa zamani walikuwa na mkufunzi MKUU yaani YESU mwenyewe,,

Hata alipowaacha aliwaachia VYETI vya kudumu ambaye ndiye ROHOMTAKATIFU wa Bwana.

Sasa yeye Gwajima nani kamuweka WAKFU wa kuwa Askofu achilia mbali Uchungaji wa kawaida.
Aweke hapa Vyeti vyake vya Taaluma yke,,
 
kina petro walisoma wapi, kina paulo (saul) alisoma wapi. ninyi wachungaji wa vyeti ndio maana mnakuwa hadi wachawi kwasababu mnajali cheo siu utume.
 
habari wana jf nmekua nikiwaza huyu gwajima ana muda gani toka afahamu kua RC wetu ana vyeti ambavyo si vyake,na kama nafahamu toka mda mrefu kwanini hakusema kipindi kile cha PAUL MAKONDO kuwa mkuu wa wilaya? Au kwasababu amemhusishwa na uchunguzi wa madaw?
 
Jiongeze mtoa mada. Hivi wewe ulishawahi kujadili kauli za Sizonje kabla hajawa mkuu wa njiii? Unapotenda kosa ndio unatoa mwanya wa watu kukuchunguza usafi wako.
Nikukumbushe tu misemo kama usitukane mamba kabla........, ukitaka kuruka agana na .........., lakini kubwa kuliko usianzishe vita ya mawe wakati unaishi kwenye jumba la udongo.
Nikukumbushe tu kuwa Gwajima ana helicopter anatua mpaka kolomije
 
Saga cont
 

Attachments

  • tapatalk_1490008355321.jpg
    24.8 KB · Views: 37
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…