Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

kwa gwajima wacha ajivue uchungaji kwa muda ili amalize hii kadhia ya DAUDI.. maana bashite alizidi kupindukia.. wacheni gwajima afanye yake ili ajiweke swafi mbele ya jamii
 
Babu yangu alikuwa mwinjilisti watu wakazidi kumwonea kutokana na huko kuwa na YESU. Mzee akasema sasa yatosha, ikawa mtu akimkorofisha anamwambia nitamtundika YESU wangu mtini halafu nikushughulikie kwanza nikishamalizana na wewe naenda kumchukua tena! Hicho ndo Gwajima alikifanya baada ya manyanyaso ya mheshimiwa sana RC Daudi Alubati Bashite. Hukumu yako Chibudee ni ya haki kabisa wala haina kona kona! Makonda kulialia wala haimsaidii alete vyeti hapa! Hivi naye huwa anakunywa MAJI mengi kama Ray?
 
safi sana
 
kwa gwajima wacha ajivue uchungaji kwa muda ili amalize hii kadhia ya DAUDI.. maana bashite alizidi kupindukia.. wacheni gwajima afanye yake ili ajiweke swafi mbele ya jamii
Hapa kaisari anapewa vilivyo vyake, hakuna kosa
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Anayedaiwa kuibiwa vyeti hajalalamika popote na wanaolalamika siyo wanaodaiwa kuibiwa. Kwa mtu mwenye akili timamu atabaini kuwa hapa ni porojo ndizo zinachezwa na lengo ni kusogeza siku ili 2020 ifike kwa vile CHADEMA hawana hoja za kujenga kwa wananchi.

Ndugu zangu, CHADEMA siku zote hubwabwaja na wakati mwingine hawajui lolote juu ya hicho wanachosema. Walituambia hapa kuwa PAUL CHRISTIAN MUYENGE ni mfanyakazi wa Radio FM Tabora na alipata Division One form four. Wakatuambia kuwa alishindwa kuendelea na masomo kwa vile alikosa ada ya kugharamia masomo ya kidato cha tano na sita. Hawajaeleza iweje amudu kugharamia masomo hadi kidato cha Nne akashindwa kugharamia miaka miwili tu. Hapa kuna hoja ya kujibu. Hawajatuambia kuwa wakati anaajiriwa Radio FM Tabora, aliwasilisha vyeti gani na wakati anaajiriwa, alikuwa na kiwango gani cha elimu. Kama alikuwa na elimu inayozidi form four, hawajatuambia alijiendelezaje ilhali vyeti vyake vinatumiwa na MAKONDA.

Akaja yule mchungaji mihogo na story kuwa PAUL MAKONDA jina lake halisi ni DAUDI ALBERT BASHITE. Bashite ndio imekuwa kick ya kuwatoa kisiasa. Akatuambia kuwa Makonda aliiba vyeti vya Division Three ili akasome chuo cha Uvuvi. Hapa Division One ya akina Mange Kimambi imeota mbawa.

Ili kuhitimisha mjadala huu, kwa vile PAUL CHRISTIAN MUYENGE yupo, CHADEMA mshinikizeni akafungue kesi ya madai na jinai mahakamani. Huwezi kuibiwa vyeti na wewe ukatulia tu then ukatumia vyeti hivyo hivyo kujiendeleza kitaaluma mpaka ukapata taaluma ya Habari. CHADEMA mna mawakili wasomi ambao wanaweza kumsaidia MUYENGE kupata haki yake. Kama mmemsaidia WEMA SEPETU anayekabiliwa na matumizi ya moshi, mbona huyu Muyenge mnamtenga?
 
PAUL MAKONDA ni mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na ni mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa mkoa, vilevile majukumu yake ni kutekeleza sheria za nchi, ikiwemo sheria namba 5 ya 2015 ya kupambana na madawa ya kulevya, katika mkoa wake na kusimamia shughuli za serikali. Paul Makonda ameteuliwa na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya Kifungu 61 cha Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977. Sasa kama GWAJIMA anapambana na PAUL MAKONDA, ajue wazi kuwa anapambana na Serikali, sheria za nchi, katiba ya nchi na Rais wa nchi ambaye ni John Pombe Magufuli. Hivyo, Gwajima anapaswa kuelewa hili kabla ya kuendeleza ubabe wake ambao kwa asilimia 100% atashindwa na kujikuta mahala pabaya.
Laiti mimi ndiyo ningekuwa Rais wa nchi hii, Gwajima angepata somo. Paul makonda yuko sahihi katika vita hii. Labda tu watu wanaompenda Gwajima wampe ushauri ili aache kupambana na serikali. Atii sheria za nchi. Vinginevyo, ataonekana na ni mchungaji mbabaishaji tu mbele ya jamii. Kamaanaweza kudhibitisha jambo kwa kunukuu vifungu vya Biblia, anashindwaje kudhibitisha kwa kuonyesha hadharani hivyo vyeti anavyodai kuwa navyo?.
 
Ingekuwa vema anayetuhumiwa akatoaa cheti tu mchezo uishee, sinema ya kihindi ingeishiaa hapo. Swali je atatoa??
 

Bashite weka vyeti mezani hizi blah blah peleka Lumumba.
 
Aoneshe kwani vyake au vya bashite??

Pia Umejaribu kumtetea Bashite lakini bado uteteze auna Tija

Makonda kama anajiamini Na anauwakika na elimu yake kwann Asiweke uwalali wa elimu yake

Kwaiyo kisa makonda kateuliwa. Na raisi ndio hatuna mamlaka ya kumjaji??

Au kuteuliwa na raisi nisababu ya kuuongopea umma??

Ninavyo mjua makonda nimpenda sifa sanaa angekua kweli Anaelimu yahaja lazima angelizima iliswala la vyeti kwambwembwe zoote cloud's lakini huwezo huo hanaa

Hatukotayari kuongozwa nakiongizi asie muadilifu
 
Baada ya thread ya kifo cha Mh. Regia Mtema (Mb); thread ya/za "Kashfa ya Bashite" ndio inayoshika rekodi ya pili kwa michango mingi tangu kuanzishwa kwa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…