Nathason2
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 598
- 680
to youit doesn't make any sense
to youit doesn't make any sense
Very nice comment ever!The only person wa kumaliza utata wa hili ni ndugu Makonda mwenyewe. Lakini hebu tujiulize. Who is Makonda? si ni mwananchi kama sisi? kwa nini swala kuhusu vyeti vyake liwe big deal? I mean Mh. Rais alisema kuna uhakiki. Sasa huo uhakiki unawagusa watu gani na kuwaacha watu gani? Kwani Makonda siyo mtumishi wa umma? I mean si analipwa kwa kodi zetu? What happened to Leadership by example?
Kuna watu wanakatwa 15% ya HELSB. Kuna watu wameanikwa kwamba ni vilaza. Kuna watu wamerudishwa nyumbani wakajipange upya kwamba qualifications zao hazitoshi kuingia vyuoni. I mean hili swala limeumiza wengi. Na ni very unfair watu kuamka na kusema kwamba huyu Makonda tumuache. It is double standard ambayo itatutafuna mpaka kizazi.
Makonda should come out clean and say: Nina vyeti halali au kama hana basi arudi shule akasome. Ni kijana mdogo. Anakokwenda ni mbali kuliko alikotoka. Sioni sababu kwa nini yeye awe mgumu katika hili.
Akishindwa ku-deal na hili swala, hakika hatakuwa na moral authority ya kukemea maovu kwenye jamii yetu. Utaanzaje kukemea utendaji mbovu na vyeti feki wakati wewe ni mtuhumiwa nambari moja? Makonda atumie busara. Asi-push mpaka Rais afanye maamuzi ya hatma yake. Kama hana vyeti aombe kujiuzuru akiwa bado na credibility kwa aliye mteua then arudi shule.
Though Kiukweli, Makonda as the rising star, amempa pigo Rais wetu aliyemwamini mpaka kumsifia kwenye public. Na media (za ndani na nje) zisivyo na adabu, lazima kesho na kesho kutwa kwenye press conference ya Rais, Magufuli ataulizwa. Atajibu nini? na vita yake aliyoianzisha dhidi ya vyeti feki? In fact mpaka leo tunaambiwa mishahara haipandi kwa sababu ya watu wenye vyeti fake/hewa!
You cant simply whitewash hii kitu kwamba ni kelele za wauza madawa ya kulevya. Ni zaidi ya wivu na chuki binafsi. Makonda awajibike. Ni elimu yake. Inagusa utu wake na strggle zake kama binadamu yeyote yule. Kama hana cheti halali, basi, akung'ute kanzu yake na kurudi shule. Kama ni kusoma QT hajachelewa pia.
Masanja.
to you
mgogoro upi mkuu ni kama hueleweki kwani kuna mgogoro?even to you
kwa nini uwaombe watu wapige kura, zitakusaidia nini kutatua mgogoro uliopo?
mgogoro upi mkuu ni kama hueleweki kwani kuna mgogoro?
whether in English or any other language, I understand swahili or not, keep in mind am not writing to comfort anyone but am writing to express my ideaLet me write in English, it seems you don't understand Swahili. there is a conflict of interest between you and your understandings
hahahaa jamaa yangu kama umepanic sana bampa to bampaMshaanza kuwshw asubuh hii...mbowe yupo.. Hajakimbia nchi kama Bashite.lianzishen. ebu tulie muazimishe sku yenu leo.
Watakaokutukana nitapambana nao.HABARI WANA JF
Naamini kila zama na kitabu chake na pia kila zama na nabii wake
haya yanayo endelea kuhusu Makonda yatapita na yata sahaurika na mbwe mbwe zake zote zitasahaulika ila
naomba tujiandae kisaikolojia itakaporudi suala la mihadarati na mbowe nalo litadumu kama hivi sijui ila msema kweli ni muda tu nao utafika
asante
napenda kutukanwa na watu wanaokuwa na mtazamo tofauti na mimi
mbowe kakaa kimya sabau ananijjua ila hatopona kabisaTuna liandaa la Mbowe
muda wowote tuna linukisha
Sisi tutakuja na ushahidi 100%,
chama gani kinaongozwa na ZERO!!
Hii ni aibu
Tuna liandaa la Mbowe
muda wowote tuna linukisha
Sisi tutakuja na ushahidi 100%,
chama gani kinaongozwa na ZERO!!
Hii ni aibu
hajajisalimisha na kutoa utetesi juu ya vyeti vya watu alivyobinafsisha.kwa hiyo suala lake halijafungwa.tunaendelea kuuliza vyeti ni vyake ?je jina ni lake ?HABARI WANA JF
Naamini kila zama na kitabu chake na pia kila zama na nabii wake
haya yanayo endelea kuhusu Makonda yatapita na yata sahaurika na mbwe mbwe zake zote zitasahaulika ila
naomba tujiandae kisaikolojia itakaporudi suala la mihadarati na mbowe nalo litadumu kama hivi sijui ila msema kweli ni muda tu nao utafika
asante
napenda kutukanwa na watu wanaokuwa na mtazamo tofauti na mimi
KATIKA MAISHA NAAMINI MIMI NI NANI INAPOTOKEA MJINGA AKATUKANA NAHESHIMU SANA SABAU NDO UWEZO WAKE ULIPOFIKIA PIA NDO HISIA ZAKE KAWASILISHAWatakaokutukana nitapambana nao.
Mtoto mzuri sana wewe!!!
Una midomo fulani amazing!!!!!
Achilia mbali line yako mahususi lakini tigo ndio unatoa zaidi.