Huyo tundu ataongea nini?Inashangaza kuona kumbe mgeni rasmi ni M'baba katika siku ya wanawake..
Huyu bashite hasafishiki.
Hivi wanawake wamekosa MTU wa kumualika mpaka Daudi? Wangemualiaka hata tundu lisu.
wamhoji juu ya vyeti na mahusiano na yule gwiji wa madawa ya kulevya !!Sherehe ilikua inatafuta publicity, waandishi wa habari watajaa hapo
Wangemualika HELEN Kijo BisimbaInashangaza kuona kumbe mgeni rasmi ni M'baba katika siku ya wanawake..
Huyu bashite hasafishiki.
Hivi wanawake wamekosa MTU wa kumualika mpaka Daudi? Wangemualiaka hata tundu lisu.
Acha maneno weka vyetiWadau,
Sote wapenda haki tunaomba jeshi la polisi limkamate Gwajiam mara moja na atueleze vyeti anavyodai ni halisi vya RC Makonda kavipataje? maana vyeti vya mtu vinatolewa na NACTE na kupelekwa shuleni mtu alikosoma na baadae anakabidhiwa mhusika mwenyewe. Leo Gwajima anadai ana vyeti halisi vya Makonda kavipataje? Lazima akamatwe na ahojiwe aeleze alipewa na nani, huwezi kumiliki cheti cha mtu original bila ridhaa yake. Kama ni NECTA au Headmaster alimpa hao lazima wachukuliwe hatua za kisheria kwa kutoa vyeti vya mtu bila ruhusa yake.kuwa na vyeti vya mtu kinyume cha ridhaa yake ni wizi na hivyo sheria lazima ichukue mkondo wake. wote tukatae tabia hizi zinazokiuta haki ya mtu kwa aina yoyote ile. Mamlaka husika ziingilie kati suala hili haraka.
Ndo maana naona Gwajima muongo sanaNaomba kuuliza hvi mtu ukipata zero ya 35 necta wanakupa cheti?
Ndo maana naona Gwajima muongo sana
Nina mashaka kama Gwajima ni mtumishi wa Mungu
Sio lazima kutoaingekuwa ni ww na haya matusi yote na kudhalilishwa kote je usingetoa vyeti vyako?
Wadau,
Sote wapenda haki tunaomba jeshi la polisi limkamate Gwajiam mara moja na atueleze vyeti anavyodai ni halisi vya RC Makonda kavipataje? maana vyeti vya mtu vinatolewa na NACTE na kupelekwa shuleni mtu alikosoma na baadae anakabidhiwa mhusika mwenyewe. Leo Gwajima anadai ana vyeti halisi vya Makonda kavipataje? Lazima akamatwe na ahojiwe aeleze alipewa na nani, huwezi kumiliki cheti cha mtu original bila ridhaa yake. Kama ni NECTA au Headmaster alimpa hao lazima wachukuliwe hatua za kisheria kwa kutoa vyeti vya mtu bila ruhusa yake.kuwa na vyeti vya mtu kinyume cha ridhaa yake ni wizi na hivyo sheria lazima ichukue mkondo wake. wote tukatae tabia hizi zinazokiuta haki ya mtu kwa aina yoyote ile. Mamlaka husika ziingilie kati suala hili haraka.
Bwana mdogo, utaambuliwa Ban buree!! Huu sio mtaa WA udaku, tunataka vyet full stop!!Kmmayo kama mnasema kapata zero nyie ndo muonyeshe hivyo vyeti alivyopat zero, halafu mngese wewe acha shobo, ukoo wenu mzima haumfikii makonda na anaweza kuwalisha mwaka mzma mbwa nyie
Mbona unatumia nguvu nyingi hivyo mpaka jasho linakudodonka. Hayo yote uliyoandika kwa nini husimshuri Mwenye vyeti ndio atangaze kaibiwa vyeti ili tujue pakuanzia.Wadau,
Sote wapenda haki tunaomba jeshi la polisi limkamate Gwajiam mara moja na atueleze vyeti anavyodai ni halisi vya RC Makonda kavipataje? maana vyeti vya mtu vinatolewa na NACTE na kupelekwa shuleni mtu alikosoma na baadae anakabidhiwa mhusika mwenyewe. Leo Gwajima anadai ana vyeti halisi vya Makonda kavipataje? Lazima akamatwe na ahojiwe aeleze alipewa na nani, huwezi kumiliki cheti cha mtu original bila ridhaa yake. Kama ni NECTA au Headmaster alimpa hao lazima wachukuliwe hatua za kisheria kwa kutoa vyeti vya mtu bila ruhusa yake.kuwa na vyeti vya mtu kinyume cha ridhaa yake ni wizi na hivyo sheria lazima ichukue mkondo wake. wote tukatae tabia hizi zinazokiuta haki ya mtu kwa aina yoyote ile. Mamlaka husika ziingilie kati suala hili haraka.
swali zuri.Naomba kuuliza hvi mtu ukipata zero ya 35 necta wanakupa cheti?