Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Wewe umethibitisha "ukifuu" wako.
Mshauri Daudi alete uthibitisho wa kubadili jina lake la awali na cheti cha kidato cha 3.

Hii kitu imekaa kihewa hewa tu.

Kuna vyeti hewa kila kona.
Kila kitu ni hewa- JPM

Link Rais Magufuli: Siwezi kusikiliza madai ya malipo yoyote wakati kuna malipo hewa kila kona
 
Reactions: BAK
Gwajima ana vyeti vya Makonda!!wewe hukusikia? Gwajima ni library au ni usalama Wa taifa? Gwajima ni mwizi? Maana alipataje vyeti vya Makonda? Tukisema ni jambazi aliyevunja nyumba ya Makonda na kuiba vyeti vya Makonda tutakuwa tumesema uongo!!! Tukisema ni jambazi ambaye amevunja library ya Shule ya msingi , secondary na chuo kikuu Fulani tutakuwa kumemsingizia?Tukisema Gwajima ni vunja ndoa za watu na kuwalagai wanawake na kupewa vyeti vya wanaume Wa wake hao tutakuwa tumemsingizia endapo kweli anavyeti vya Makonda?
 
Tafadhali Ndugu Daudi BASHITE Leta vyeti haraka tunakaribia kufunga uhakiki. Wapigie simu huko KOLOMIJE wakuletee haraka
 
TAARIFA MAALUM

Usikose Ibada ya Jumapili 05/03/2017 katika Kanisa la Ufufuo na Uzima, lililopo jirani na jengo la Tanesco,
Ubungo, Dar es Salaam.

Kumbuka,mtumishi wa Mungu, Askofu Dr Josephat Gwajima atakuwepo akifundisha na kuwaombea wenye shida na matatizo mbalimbali.

Kama ilivyo ada ni miujiza itatendeka na mambo mengine makubwa yatafanyika.

Ibada itaanza asubuhi saa mbili kamili na Pia itarushwa live kwenye vituo vifuatavyo:

Rudisha Radio: www.mixlr.com/rudisha-radio

Na YouTube Channel: www.youtube.com/user/ufufuonauzima

JUMAPILI HII NI ZAIDI YA JUMAPILI ILIYOPITA
 
I
 
Bashite anazidi kutapatapa na kupigapiga miguu. Povu lote hilo nadhani umekuja na vyeti halali kumbe ngonjera tu. Unadhani kwa utawala huu dhalimu kuna mtu atajitokeza hapa athibitishe ubashte wa makandokando! Hapo hata walimu wake hawawezi thubutu
 
mtu anayetetea ujinga ni mjinga,huyu mpenda kamera angekuwa na vyeti angeshavianika
 
Kuhusiana na makonda juuu ya vyeti feki ni hoja isiyo na mashiko ...KWA MTU uliyesoma huwezi kupoteza mda kulizungumzia ilo nyie mmemuona makonda tu ila jua ni weng wenye vyeti ambavyo sio vyao wengi snaaa KWA io kuhusu wala sio kitu mim naona ni sawa na wadada vyuoni ambao wanatoa rushwa ya NGONO kupata ALAMA sio zao unaonaje ilo jua kwamba wanawake wazuri wote vyuoni zile sio elimu zao ni baada ya kutoa rushwa ya NGONO
 
1. Wamwachie Gwajima ili Jpili awaletee mwalimu wa Bashite

2. Necta wapitie vyeti vyote (Bashite + Makonda + Daudi) wajiridhishe uhalali wa vyeti vyote. Katika uchunguzi wafatilie from primary level hasa kwa huyo Paul
 
Alimuibia mama yako or? Huyo unayedai kaibiwa amefungua Kesi wapi na lini?
Kwann umpendekeze mama yake TU? Au umedhamilia kumtusi ? Sio poa mkuu huu ni mjadala wa kawaida tu unavyojadili usiwe km umetatuliwa marinda au tayari wameshatatua mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…