Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Ebwana wee kweli quick mover....talk about MWANAKHAMISI nilisikia MUDI PANKI aliamua kuchukua jumla jumla wakati JULIE MZUNGU kaka yake LINA mzungu pale jirani na kwa majungu ndio hivyo tena...hivi bado wanaendelea kufuga nguruwe pale? Omari sico nasikia yuko unyamwezini wakati pale kwa akina MTWATA nasikia kumekuwa baaa....chili makubeli naye nasikia yuko London na mfaume kimario nasikia naye yuko Unyamwezini...unajua lile gorofa la kwa majungu lilikuwa linaitwa TITANIC kama lile gorofa la Mtikila kule karibu na shule ya Ushindi
Hilo la darusi kuwa GHAY au GAY bado nashindwa kuswallow maana maishani kwangu sijawahi kuona kijana wa kichagga ambaye kawa shoga na kwa kweli hata sijui lawama apewe nani...haya vipi akina CLAIRE na SHUBIRA wale watoto wa pilot jirani na kwa akina Darusi wapo? Unamkumbuka HAMIDU MACHUPA mdogo wake OSCAR? ebwana jamaa nilikutana naye Brazil japo watu Bongo wanajua yuko South Africa...na sikuhizi anaitwa DLAMINI! je unamkumbuka Abdallah Mwenda?
Back to topic:
Mbona hujaleta za akina Humphrey na Tibe? vipi ulionana na
Rose? mwanzo nilisema kuwa alikuwa anafanana na Faith Evans nilikosea...actually Rose alikuwa anafanana na Tisha Campbell wa kwenye ile comedy ya Martin
Ni watu wachache wanaoweza ku-appreciate jitihada na mafanikio ya Mch. Dkt. Lwakatare. Mimi nikiwa kama mtanzania ninampongeza sana Mch. Dkt Lwakatare kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum. Mwenyezi Mungu azidi kumbariki na kumwongezea moyo wa upendo.
Wapo wengi waliokuwa na pesa zao wakaamua kufanya biashara mbalimbali, lakini Mch. aliamua awekeze katika elimu, tena elimu ya watoto ambayo ndiyo urithi mkubwa kuliko urithi mwingine wowote.
Kwa jitihada zake, ana hudumia watoto yatima wapatao 2000 (naweza kusahihishwa) kuanzia malazi, mavazi, chakula na elimu. Wapo wengi wenye nafasi zao lakini hawajaweza hata kupita mahali kuwaombea msaada japo mtoto yatima mmoja.
Kwa vile hapa JF tunadhani kuongea ni rahisi, lakini tunasahau kwamba mwenye maneno mengi si mtendaji.
Kabla hujamsakama Mchungaji, jiulize, je wewe nafasi yako ni ipi katika jamii na umeifanyia nini jamii hiyo.
Kwa mara nyingine, nakutakia kila la heri Mchungaji Dkt Lwakatare.
Na mindhali keshaapishwa basi tena maisha yake yako open to the public
Kwa uhakika tunamjua sana kuwa ni mama wa mjini ambaye pamoja na kuendeleza udini bado mume wake wa kihaya alimwacha kwasababu mama aliingiliwa na jinamizi la ufusikaYote tisa, hapa tu ndio kumi, maana hata Kigogo anayejifua naye tunamjua ndio maana amepewa tu bure, tena inashangaza kuwa imemchukua muda mrefu hivi, labda huyo kigogo alikuwa hamuamini huyu mama!
jamani hilo la kujirusha kama binadamu ni kawaida ..ili mradi hachukui mabwana za watu..anyway ingekuwa mfano bora kama mtumishi wa bwana akirudiana na mume wake..kwa kuwa hatumuelewi..kama hana mume na ni binadamu mwenye hisia ..hatachelewa kujirusha na dereva au..anyway kafanya kosa kubwa sana atakalojutia kujiunga siasa..unajua kumuumbuua mtumishi wa mungu inataka moyo ...lakini ukija kwenye anga za kisiasa tutakuchambua kama mwanasiasa ..utumishi wako tunaweka kando...hatukuangalii usoni!!!!
Hili swala la kujivinjari na "mkubwa" kwa kweli silijui. Ninachojua kuwa enzi hizo (wakati kanisa lake bado changa) kulikuwa na tetesi kwamba alikuwa na katibia ka kulala na baadhi ya waumini wake. Kulikuwa na dereva wake mmoja alikuwa anaitwa Adam. Inasemekana huyu dereva, sio tu alijua siri za michongo yote ya huyu mama, bali pia alikuwa anapata mchezo kiainaa,
Kuhusu suala la kurudiana na mzee Rwakatare, sidhani kama ingewezeka. Huyo mzee alisha move on. Baada ya kuachana na mchungaji, alivuta kimwana mwingine na kuendeleza uongezaji wa population ya TZ.
2006-05-05 08:21:18
By Hannah Mwandoloma
National Social Security Fund (NSSF) has filed a case against the Director and owner of St. Mary's International Academy, Reverend Getrude Rwakatare, accusing her of failing to remit workers' contributions to the Fund.
She has not remitted about 129.5m/- between June 2004 and January this year, according to the charge sheet.
The case was filed at the Kisutu Resident Magistrate Court last month.
St Mary's International Academy, which is located at Mbezi Beach in Kinondoni Municipality, is registered with NSSF.
Rev Rwakatare, as a contributing employer number 665495, was discovered on March 16 by NSSF to have not registered her 294 employees with the Fund or pay any amount to NSSF, between June 2004 and January 2006.
NSSF's lawyer, Crispine Meela who filed the case claimed that by failing to register her employees, Rev. Rwakatare did not only cause a loss of 129,585,432/-, but also the records of her 294 employees were nowhere to be found anywhere on the NSSF data base.
The court has summoned Rev Rwakatare to appear before it on May 30 to answer the charges.
http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2006/05/05/65730.html
Jamani kwa sasa anajirusha na yule aliyekuwa mwenye Silent Club pale Mwenge ambaye pia ni muumini mmojawapo wa kanisa lake!