Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
Mtawatambua kwa matunda yao
Jamaa mahubiri yake ni anasa za ulimwengu huu tu jamani ..shitukeni
Jamaa mahubiri yake ni anasa za ulimwengu huu tu jamani ..shitukeni
Kumbe..?! Mi sikujua kama anae mmoja tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona yeye ana Mke mmoja tu?
MhDah....dem mmoja tu for the rest? NO big No[emoji13] [emoji13]
Na mie sijakuelewa [emoji248] [emoji248] [emoji248]kwani utaratibu wa kuoa mke mmoja sio wa kikristo bali ni wakanisa kuna vitu viwili kanisa na ukristoo najua wengihawajanielewa
Mkuu Asante,That's what people should understand.umeongea point iliyonona.Takwimu zinaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume pia hata katika siku 4 Kwa mwezi ambazo mwanamke anaweza pata mimba ni siku 1 tu ndo mtoto wa kiume anaweza patikana siku 3 zote ni mtoto wa kike sasa kama mungu alitaka ndoa ya mke mmoja je kwa nn afanye wanawake kuwa ni wengi kuliko wanaume??? kwani mungu alitaka hawa wanawake wengine wasipate mume wa kuwaoa ?? ikiwa kila mtu na mke mmoja je hawa wengine watakuwa wanachukua wanaume za watu au wawe makahaba??? si kweli hakuna mungu anaeweza kufanya hvyo na aliposema nendeni mkazaliane na kuijaza dunia alijua kuwa wanaozaa wanatakiwa wawe wengi ili dunia iweze kujaa sasa wanaozaa ni wakina nani? kama si wanawake?
angalia tu wanyama kama simba,tembo,twiga,sokwe,mbuzi,mbwa je madume wanakuwa wengi au dume mmoja majike wengi??? au mtu yeyote anaefuga mnyama au ndege utanunua majike wengi kuliko madume au madume wengi kuliko majke????
Tafiti nying za kisayansi au kiumbaji zinaonyesha dume au mwanaume anauwezo kwa kumiliki mmke au jike zaidi ya mmoja na ndo maana dume au mwanaume anauwezo wa kuzalisha hata akiwa na miaka 100 lakini si mwanamke wanamke ni 45-50 bhasi uwezo tena wa kuzaa unakuwa umekwisha
Are u sure?Mbona yeye anammoja?
Hapa tunakumbuka maneno ya yesu kristo kuhusu manabii wa siku za mwisho point to note "MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO"Hiyo hapo.
Mchungaji kasema hayo kwenye ibada ya leo. Huyo ndo mzee wa upako.
View attachment 433450
Hao wengine anajichepua mkuu!Are u sure?