Mchungaji Anthony Lusokelo apinga ndoa za mke mmoja

Mchungaji Anthony Lusokelo apinga ndoa za mke mmoja

Lusekelo aoe tu mke Wa pili. Tunataka awe mfano kwa kauli yake na sio kuwapotosha wakristo.
 
Huyu tangu nilipoona mahubiri yake juzi nimemtoa kwenye kundi la wachungaji ni mpiga dili tu
1. Anahamasisha ndoa za wake wengi (wakati yeye ni mkristu) anasifia ndoa za wake wengi za kiislamu?
2. Anatetea mfumo dime yaani mwanaume akisema kitu mwanamke asitoe mawazo mbadala?
3. Anahamasisha mauaji eti wanaua tembo wapelekwe pale uwanja wa Uhuru wauawe hadharani na miili yako iachwe hapo iwe inaoneshwa kila siku na TV??
Huyu si mchungaji ni tapeli mwizi
 
Takwimu zinaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume pia hata katika siku 4 Kwa mwezi ambazo mwanamke anaweza pata mimba ni siku 1 tu ndo mtoto wa kiume anaweza patikana siku 3 zote ni mtoto wa kike sasa kama mungu alitaka ndoa ya mke mmoja je kwa nn afanye wanawake kuwa ni wengi kuliko wanaume??? kwani mungu alitaka hawa wanawake wengine wasipate mume wa kuwaoa ?? ikiwa kila mtu na mke mmoja je hawa wengine watakuwa wanachukua wanaume za watu au wawe makahaba??? si kweli hakuna mungu anaeweza kufanya hvyo na aliposema nendeni mkazaliane na kuijaza dunia alijua kuwa wanaozaa wanatakiwa wawe wengi ili dunia iweze kujaa sasa wanaozaa ni wakina nani? kama si wanawake?

angalia tu wanyama kama simba,tembo,twiga,sokwe,mbuzi,mbwa je madume wanakuwa wengi au dume mmoja majike wengi??? au mtu yeyote anaefuga mnyama au ndege utanunua majike wengi kuliko madume au madume wengi kuliko majke????

Tafiti nying za kisayansi au kiumbaji zinaonyesha dume au mwanaume anauwezo kwa kumiliki mmke au jike zaidi ya mmoja na ndo maana dume au mwanaume anauwezo wa kuzalisha hata akiwa na miaka 100 lakini si mwanamke wanamke ni 45-50 bhasi uwezo tena wa kuzaa unakuwa umekwisha
 
Amefikiria sana amepata ukweli.

Hiyo ni kimojawapo bado vingi vitakubalika japo dini yetu mnaipinga sana.

[HASHTAG]#Umewahi[/HASHTAG] kujiuliza hivi idadi kubwa ya wanawake (mara nne au zaidi ya wanaume (sina hakika)) huwa wanaishi maisha ya aina gani ikiwa ikiwa tukioa wanawake mmoja mmoja hali ya kuwa watakaobaki waishi maisha yao bila kujihusisha na zinaa kwa kuwa wao pia wamekamilika na homoni zao angali zi hai???

[HASHTAG]#Think[/HASHTAG] twice,

MyTake:
Kwangu mimi akisemacho yupo sahihi japo wengi huu ukweli unawafanya wamwito mpinga kristu.
 
Takwimu zinaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume pia hata katika siku 4 Kwa mwezi ambazo mwanamke anaweza pata mimba ni siku 1 tu ndo mtoto wa kiume anaweza patikana siku 3 zote ni mtoto wa kike sasa kama mungu alitaka ndoa ya mke mmoja je kwa nn afanye wanawake kuwa ni wengi kuliko wanaume??? kwani mungu alitaka hawa wanawake wengine wasipate mume wa kuwaoa ?? ikiwa kila mtu na mke mmoja je hawa wengine wanachukua wanaume za watu au wawe makahaba??? si kweli hakuna mungu anaeweza kufanya hvyo na aliposema nendeni mkazaliane na kuijaza dunia alijua kuwa wanaozaa wanatakiwa wawe wengi ili dunia iweze kujaa sasa wanaozaa ni wakina nani? kama si wanawake?

angalia tu wanyama kama simba,tembo,twiga,sokwe,mbuzi,mbwa je madume wanakuwa wengi au dume mmoja majike wengi??? au mtu yeyote anaefuga mnyama au ndege utanunua majike wengi kuliko madume au madume wengi kuliko majke????

Tafiti nying za kisanyasi au kiumbaji zinaonyesha dume au mwanaume anauwezo kwa kumiliki mmke au jike zaidi ya mmoja na ndo maana dume au mwanaume anauwezo wa kuzalisha hata akiwa na miaka 100 lakini si mwanamke wanamke ni 45-50 bhasi uwezo tena wa kuzaa unakuwa umekwisha
 
Back
Top Bottom