mkulu wa nchi hata kwa mzee wa upako aliendaViroba vinamuharibu uyu mzee pole yake hana kiki nyingine zaidi ya hiyo mtu mwenyewe hata hamjui maskini yake mfyuu kweli bapa sio chai badala awaze mkorogo anaopaka unavo muharibu na konyagi zake ana weweseka na tb j hahaa vyuma vimekaza mbona mkulu wako wa nchi anaendaga na familia yake kiki imebumaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi na yeye utabiri wake wa waandishi waliomwandika vibaya kututoka mwezi Machi, 2017 kama usipotimia ataenda kuuza gondo au? hahahahaha naipenda Tanzania yangu na watu wake wote
wengi walimtaka Clinton halafu wakampigia kura trumpujue hadi sasa Marekani hakuja tulia kwakuwa wengi walimtaka clinton awe rais wao
Ningeweza ningekugongea like 5,Kwa hoja za kibiblia TB.Joshua si nabii wa Mungu.Kumb 18:17-20. Kwa hoja za kibinanamu TB.JOSHUA ni nabii mkuu
WakuandameUsiombe watanzania wakyandane au wakuchoke