Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Mwalimuu karibu bana...!! Naona mambo ya Miss Judith hayakwenda kama yalivyopangwa...!!Edson mbona unataka kuharibu hali ya hewa?
Mwalimuu karibu bana...!! Naona mambo ya Miss Judith hayakwenda kama yalivyopangwa...!!Edson mbona unataka kuharibu hali ya hewa?
hehehehehe nimekusoma kiongozi!! kwa hiyo mambo ni valu valu hakuna cha mchumba wala nini? wazi wa msela walishtuka nini wakajua mwanao anata kuolewa badala ya kuoa? Isije kua kuna ndugu wa msela alipita hapa JF akaona akaenda kuwashtua madingi!!
hahahaha ndo ubaya wa jirani kujua ID yako..lolEdson mbona unataka kuharibu hali ya hewa?
Mwalimuu karibu bana...!! Naona mambo ya Miss Judith hayakwenda kama yalivyopangwa...!!
hahahhaha Changu changu chako changu ndo mpango mzima MwlHamuachi bwana! Siku hizi ndoa sio kama za zamani. Siku hizi tunaingia kwa equal basis. Matumizi nyumbani tunagawana pasu kwa pasu, mshahara wa mwanamke tunakula sote, kwa nini mwanamme awe juu!
Hamna kuolewa na kuoa, KUOANA ndo mpango mzima
hahahaha ndo ubaya wa jirani kujua ID yako..lol
Miss Judy yuko busy na babu wa Loliondo.
Sala zake zimegonga mwamba! Mwanaume kayeya!
Narudia tena...atakayemuoa yule binti, namuonea huruma sana!
Wadau,
Mtakumbuka kuwa Miss Judith alitushirikisha kwenye maombi ya siku 30 za kumteua wa kuishi naye daima dumu.
Kwa mijibu wa mahesabu aliyojiwekea mwenyewe ilitakiwa by 01/june 2011 atushirikishe majibu!
Bahati mbaya sikuwepo majamvini siku hizo, hivi alileta feedback kuwa amefanikiwa kumwingiza tunduni huyo jamaa?
[/INDENT]
Na MJ ndiyo zake hizo!Usikute hizi screen tu zinatufanya tuwe watu wengine, lakini mbele ya jamaa yake hazungushi, anageuka mdogo kama Piritoni (au Aspirini?)
hommie mara nyingi marejesho ya maumivu ni ngumu kuleta..!! ingeenda kama ilivyo angekuja na thread ya kumshukuru Mungu wake hapaTatizo la sisi wabongo huwa hatufanyi mrejesho tunajisahau
Yawezekana mwaego.......Usikute hizi screen tu zinatufanya tuwe watu wengine, lakini mbele ya jamaa yake hazungushi, anageuka mdogo kama Piritoni (au Aspirini?)
hommie mara nyingi marejesho ya maumivu ni ngumu kuleta..!! ingeenda kama ilivyo angekuja na thread ya kumshukuru Mungu wake hapa
Lkn si aweke mambo hadharani ili kama vipi watu waanze kumPM?
hahahaha kama umepangiwa kila kitu na kukubali leo uje ukataze tena? Ukitoswa? (am just thinking loudly)Labda Bwana Mkubwa kamkataza kuanika mipango yao hapa JF. Coz sasa si mipango yake tena bali ni yao .......(I'm trying to think positively)
Yawezekana mwaego.......
Na hivi umepotelea wapi mwalimu wangu?
Sala zetu Mungu kazitupilia mbali au Invizibo ana umoja na mapepo?
hahahaha kama umepangiwa kila kitu na kukubali leo uje ukataze tena? Ukitoswa? (am just thinking loudly)